Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black StarsSingida Black S
  • Namungo FC vs Yanga SC, Uwanja wa Majaliwa NBC Premier League Februari 22,2026
  • Mtibwa Sugar 1-3 SBS NBC, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma
  • KMC FC yapigwa na Azam FC yapoteza mchezo wa 12 ikiburuza mkia

Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Magoli yamefungwa na Ndumumwe Mossi dakika ya 5, Horso Malanga dakika ya 16 na Kennedy Juma dakika ya 58. Goli pekee la wenyeji Mtibwa Sugar limefungwa na Raizin Hafidhi dakika ya 89.

SOMA HII: NBC Premier League table 2025/26

Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu

Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kubashiri SportPesa bonyeza picha hii chini.

Sportpesa Aviator Rain Free Bets- Mil

Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars, Horso mchezaji bora

Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars
Horso mchezaji bora Mtibwa Sugar vs Singida Black Stars. Source: Ligi Kuu.

Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars baada ya dakika 90 pointi tatu zimechukuliwa na mgeni. Ni Horso Malanga ametwaa tuzo ya mchezaji bora. Matokeo hayo yanaifanya Singida Black Stars kufikisha pointi 15 huku Mtibwa Sugar ikisaliwa na pointi zake 21.

KMC FC 0-2 Azam FC

Nado vs KMC
Nado kwenye mchezo vs KMC. Source: Azam FC

KMC FC 0-2 Azam FC, Uwanja wa KMC Complex. Magoli yote yamefungwa na Idd Suleiman, maarufu kwa jina la Nado dakika ya 55 na 65.

Mara baada ya mchezo Nado alichaguliwa kuwa mchezaji bora. KMC FC haijawa kwenye mwendo bora msimu huu ikiwa imeshinda mechi 2 sare 2 na kupoteza 12 katika mechi 16 ilizocheza.

Namungo FC vs Yanga SC, Uwanja wa Majaliwa

Yanga SC 3-1 Dodoma Jiji FC
Depu nyota wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Leo Namungo FC vs Yanga SC watakuwa Uwanja wa Majaliwa kusaka pointi tatu uwanjani. Wageni Yanga SC Februari 21 waliwasili Ruangwa kwa maandalizi ya mwisho. Leo wapo kazini msako wa pointi tatu muhimu.

SOMA HII: Matokeo ya Yanga SC 2025/26 | Wafungaji, magoli, ratiba ya mechi zijazo

Sportpesa Aviator Rain Free Bets- Mil

Namungo FC vs Yanga SC kikosi cha wenyeji hiki hapa

Langoni

Mussa Malika

Bakari Hussen

Machella Julius

Hamis Halifa

Abdallah Mfuko

Rodgers Gabriel

Geofrey Julius

Cyprian Kipenye

Fabrince Ngoy

Abdulkarim Kiswanya

Jacob Masawe

Wachezaji wa akiba

Pius Buswita

Herbet Lukindo

Hamimu Mussa

Ally Hassan

Hashimu Manyanya

Heritier Makambo

Lucas Kikoti

Kagusa Rajabu

Ahmed Feruzi

Julius Masuka

Kikosi cha Yanga SC

Mlinda mlango

Djigui Diarra

Mabeki

Israel Mwenda

Zimbwe Jr

 Dickson Job

 Ibrahim Bacca

 Viungo

Damaro

 Maxi Nzengeli

Duke Abuya

Allen Okello

 Buba Jammeh

Mshambuliaji

Laurindo Derson Depu.

Wachezaji wa akiba

 Masalanga

 Nondo

 Boka

 Yao

 Abubhakar

 Sheikhan

 SureBoy

 Abdulnassir

Mudathir

 Emma.

SOMA HII: Yanga SC 0-0 Mbeya City NBC Premier League | Highligts, Romain Folz kibarua kigumu

Hitimisho

Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars huu ulikuwa ni mchezo wa kiporo. Timu mbili zimeshinda viporo vyake Singida Black Stars na Azam FC zikiwa ugenini. Yanga SC vs Namungo FC na Tanzania Prisons vs Simba SC ni mechi zinazofuata. Sababu ya viporo ni timu zilizopo ugenini kushiriki mashindano ya CAF 2025/26.

Share this: