Singida Black Stars 1-2 Simba SC 2026/27E- Mpanzu (-)

Singida Black Stars 1-2 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Airtel, Singida.
Clatous Chama kiungo mshambuliaji wa Simba SC

Singida Black Stars 1-2 Simba SC ni matokeo rasmi mchezo wa NBC Premier League. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Airtel, Singida. Timu mbili kubwa zilikuwa zinapambania pointi 3 muhimu ambazo zilielekea Msimbazi.

Wababe hawa wawili wanapokutana uwanjani mapambano yao huwa ni makali. Mnyama amekuwa na rekodi nzuri kupata matokeo mbele ya Singida Black Stars. Ni mchezo wa tatu akiwa ugenini hivyo anarejea nyumbani kuvaana na Coastal Union Agosti 27,2026 ukiwa ni mchezo wa kwanza nyumbani.

Matokeo ya Kagame Cup:Simba SC 2-1 Singida Black Stars Kagame Cup 2026 hatua ya makundi wametoana | Doumbia afungua akaunti ya mabao | SportPesa Cup

Vuna mamilioni sasa hivi ukipaisha Kindege cha SportPesa

Una nafasi kubwa kuvuna mamilioni sasa hivi ukipaisha Kindege cha SportPesa. Ni rahisi mno. Bofya link hapa chini upaishe ndege.

Taarifa muhimu kuhusu Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Timu Singida Black Stars Simba SC
Uwanja Airtel Stadium, Singida Airtel Stadium, Singida
Tarehe Agosti 22, 2026 Agosti 22, 2026
Matokeo Singida Black Stars 1 2 Simba SC
Mashindano Ligi Kuu ya NBC 2026/27 Ligi Kuu ya NBC 2026/27

Wafungaji wa mabao Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Katika mchezo huu wa ligi, Simba SC ilianza kufunga bao la kwanza kupitia kwa Clatous Chama. Ni dakika ya 11 alifunga akitumia pasi ya Libase Gueye. Bao la pili kwa mnyama lilifungwa na De Reuck dakika ya 62 kwa mkwaju wa penati.

Bao pekee la Singida Black Stars lilifungwa na Shekhan Ibrahim. Huyu ni mchezaji mpya ndani ya kikosi cha Yanga SC kwa sasa yupo ndani ya Singida Black Stars. Alifunga bao hilo dakika ya 23.

Mpaka dakika 45 zinakamilika kipindi cha kwanza ilikuwa 1-1. Hii ilitokana na uimara wa timu zote mbili. Ushindi kwa Simba SC unaifanya ifikishe pointi 9 mara baada yakushinda mechi zote 3 msimu wa 2026/27.

H2H Singida Black Stars vs Simba SC

Historia ya michezo kati ya Singida Black Stars na Simba SC inaonyesha ubabe wa Simba. Katika mechi 11 zilizopita, jumla ya mabao 25 yamefungwa. Simba SC wamefunga mabao 20, huku Singida Black Stars wakifunga mabao 5 pekee. Ushindi mkubwa zaidi wa Simba dhidi ya Singida Black Stars ulikuwa wa mabao 4-0.

Takwimu hizi zinaonyesha kuwa Simba wamekuwa na rekodi nzuri dhidi ya wapinzani wao hawa. Singida Black Stars haijapata ushindi dhidi ya mnyama. Kwenye mechi mbili walizocheza katika Uwanja wa Airtel za ligi waliishia kufungwa mabao 2-1.

Simba SC vs Singida Black Stars CRDB: Simba SC 1-3 Singida Black Stars Mei 31: Magoli yote nusu fainali CRDB Cup, H2H, Fainali Yanga SC vs Singida Black Stars

Wachezaji walioonyeshwa kadi

Katika mchezo huo kuna wachezaji ambao walionyeshwa kadi. Singida Black Stars waliongoza kwa kuonyeshwa kadi za njano. Miongoni mwa wachezaji walioonyeshwa kadi hizo ni Jonathan Sowah dakika ya 50. Huyu alitumia dakika 69 nafasi yake ilichukuliwa na Andrew Simchimba.

Ibrahim Imoro alionyeshwa kadi ya njano dakika ya 52 na Jeancy Mboma alionyeshwa kadi ya njano dakika ya 32. Ni mchezo uliokuwa na kasi kubwa mwanzo mwisho. Kwa Simba SC mchezaji mmoja alionyeshwa kadi nyekundu.

Ni beki Anthony Mligo alionyeshwa dakika ya 84. Hii ilitokana na kumchezea faulo mchezo wa Singida Black Stars. Inakuwa ni kadi nyekundu ya 3 kwa Simba SC msimu wa 2026/27.

Singida Black Stars vs Simba SC Metacha kazini

Licha ya Simba SC kupata ushindi kwenye mchezo huo mlinda mlango wa Singida Black Stars, Metacha Mnata alifanya kazi kubwa. Katika kutimiza majukumu yake aliokoa hatari nyingi langoni. Miongoni mwa hatari hizo ni dakika ya 9, 26, 35, 41, 42 na 52.

Kipa huyu alikuwa imara kutokana na kuwa na uzoefu kwenye mechi kubwa za ushindani. Simba SC ilikuwa inawatumia ellie Mpanzu, Clatous Chama na Libase Gueye katika kufanya mashambulizi. Mwamuzi wa kati katika mchezo alikuwa ni Ally Mnyupe.

Hitimisho

Singida Black Stars 1-2 Simba SC 2026/27 ni moja ya michezo mikali kushuhudiwa katika msimu wa 2026/27. Hii inatokana na ubora wa timu zote mbili uwanjani na usajili ambao umefanyika. Mchezaji Jonathan Sowah aliwahi kucheza Simba SC yeye amerejea Singida Black Stars. Cheza na ushinde na SportPesa!

Share this: