Hii hapa ratiba ya Yanga SC NBC Premier League 2026/27 mechi 10 zamoto
Yanga SC ina ratiba ya mechi kali itafungua pazia Agosti 15,2026 itakuwa ugenini dhidi ya Namungo FC, Yanga SC vs Coastal Union itafuata.
Simba SC vs Yanga SC ni Oktoba 10,2026 Uwanja wa Uhuru
Hapa tumekuletea ratiba ya Yanga SC NBC Premier League 2026/27 msimu unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mechi 10 za mwanzo mabingwa watetezi watakuwa ugenini mechi 5 na nyumbani mechi 5. Mechi ya Kariakoo Dabi inatarajiwa kuchezwa Agosti 10,2026 Uwanja wa Uhuru.
Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa
Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.
Ipo wazi kwa sasa ratiba ya Yanga SC NBC Premier League 2026/27 mara baada ya kutangazwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB). Mechi ya kwanza itakuwa ugenini ni Namungo FC vs Yanga SC, Agosti 15,2026.
Na.
Tarehe
Mechi
Uwanja
1
15 Agosti 2026
Namungo FC vs Yanga SC
Majaliwa
2
20 Agosti 2026
Yanga SC vs Coastal Union
Uhuru
3
24 Agosti 2026
Yanga SC vs JKT Tanzania
Uhuru
4
28 Agosti 2026
Yanga SC vs Pamba Jiji FC
Uhuru
5
1 Septemba 2026
Fountain Gate vs Yanga SC
Sheikh Amri Abeid
6
8 Septemba 2026
Yanga SC vs Geita Gold
Uhuru
7
10 Oktoba 2026
Simba SC vs Yanga SC
Uhuru
8
13 Oktoba 2026
TRA United vs Yanga SC
Sheikh Amri Abeid
9
TBA
Dodoma Jiji FC vs Yanga SC
Jamhuri
10
27 Oktoba 2026
Yanga SC vs Mashujaa FC
Uhuru
Yanga SC mechi 5 za ugenini
Na.
Tarehe
Mechi
Uwanja
1
15 Agosti 2026
Namungo FC vs Yanga SC
Majaliwa
2
1 Septemba 2026
Fountain Gate vs Yanga SC
Sheikh Amri Abeid
3
10 Oktoba 2026
Simba SC vs Yanga SC
Uhuru
4
13 Oktoba 2026
TRA United vs Yanga SC
Sheikh Amri Abeid
5
TBA
Dodoma Jiji FC vs Yanga SC
Jamhuri
Mechi 5 za Yanga SC nyumbani
Na.
Tarehe
Mechi
Uwanja
1
20 Agosti 2026
Yanga SC vs Coastal Union
Uhuru
2
24 Agosti 2026
Yanga SC vs JKT Tanzania
Uhuru
3
28 Agosti 2026
Yanga SC vs Pamba Jiji FC
Uhuru
4
8 Septemba 2026
Yanga SC vs Geita Gold
Uhuru
5
27 Oktoba 2026
Yanga SC vs Mashujaa FC
Uhuru
Hitimisho
Ratiba ya Yanga SC NBC Premier League 2026/27 ni mwanzo wa maandalizi ya msimu mpya. Hawa ni mabingwa watetezi chini ya mdhamini mkuu, SportPesa. Mbali na kuwa kwenye ligi wanakibarua cha kuperusha bendera katika CAF Champions League.