- Djigui Diarra ametwaa tuzo ya mchezaji bora mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Tunisia.
- AFCON 2025: Sami Trabelsi kufukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia.
- Matokeo na ratiba zote hizi hapa tumekusogezea
AFCON 2025: Sami Trabelsi kufukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia kwa mujibu wa ripoti. Usiku wa kuamkia Januari 4 timu ya taifa ya Tunisia ilikwama kufuzu hatua ya robo fainali. Kipigo cha penati 3-2 baada ya matokeo kuwa Mali 1-1 Tunisia.
SOMA HII: AFCON 2025: Matokeo na Ratiba, hizi hapa timu zilizofuzu hatua ya mtoano (16 bora)
Shinda sasa hivi na kindege cha SportPesa mamilioni
Leo ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

AFCON 2025: Sami Trabelsi kukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia

Ripoti zinaeleza AFCON 2025: Sami Trabelsi kufukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia. Maamuzi hayo yametolewa mara baada ya mchezo dhidi ya Mali uliochezwa Uwanja wa Mohammed V. Licha ya kwamba Mali walikuwa pungufu bado Tunisia walikwama kupata ushindi wakiishia kumilika mchezo.
Mali ilicheza dakika zote ikiwa pungufu baada ya Woyo Coulibaly kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 26. Kipa Djigui Diarra alikuwa kikwazo kwa Tunisia. Baada ya dakika 120 kukamilika alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa mchezo alipookoa penati mbili.
Taarifa zinaeleza kuwa Shirikisho la Mpira nchini Tunisia halikufurahishwa na matokeo hayo lipo kwenye mchakato wa kutafuta kocha mpya. Sami Trabelsi kufukuzwa kazi ni jambo ambalo linasubiri muda kuwa wazi.
SOMA HII: Morocco vs Tanzania AFCON 2025: Ratiba, Live score, lineups, h2h, prediction, Habari za timu

Matokeo ya 16 bora
Mali 1-1 Tunisia, Uwanja wa Mohammed V, Casablanca.
Wafungaji
Lassine Sinayoko dakika ya 90+6 kwa penalti alifunga kwa Mali.
First Chaouat dakika ya 88 alifunga kwa Tunisia. Dakika 120 zilikamilika ngoma ikiwa ni 1-1 mshindi alipatikana kwa penalti Mali 3-2 Tunisia.

Takwimu muhimu, Mali vs Tunisia
| Mali | Tunisia | |
| 4 | Mashuti | 9 |
| 1 | Lenga lango | 3 |
| 27% | Umiliki | 73% |
| 11 | Faulo | 18 |
| 1 | Kadi nyekundu | 0 |
| 4 | Kadi za njano | 6 |
| 4 | Kona | 11 |
| 1 | Kuotea | 4 |
Takwimu muhimu, Senegal vs Sudan

| Senegal | Sudan | |
| 12 | Mashuti | 8 |
| 7 | Lenga lango | 3 |
| 67% | Umiliki | 33% |
| 15 | Faulo | 10 |
| 0 | Kadi nyekundu | 0 |
| 2 | Kadi za njano | 2 |
| 7 | Kona | 4 |
| 3 | Magoli | 1 |
Januari 3, 2026: Senegal 3-1 Sudan umechezwa Grand Stade de Tanger.
Wafungaji
Aamir Abdallah dakika ya 6 Sudan.
Pape Gueye dakika ya 29 na 45+3 kwa Senegal
Ibrahim Mbaye dakika ya 77 kwa Senegal.
Jumapili, Januari 4,2026
Morocco vs Tanzania saa 1:00 usiku
Afrika Kusini vs Cameroon saa 4:00 usiku
Jumatatu, Januari 5,2026
Misri vs Benin saa 1:00 usiku
Nigeria vs Msumbiji, saa 4:00 usiku
Jumanne, Januari 6, 2026
Algeria vs Dr Congo saa 1:00 usiku
Ivory Coast vs Burkina Faso, saa 4:00 usiku.
Kundi A
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.Morocco | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2. Mali | 3 | 0 | 3 | 0 | 3 |
| 3.Comoros | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Zambia | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
Kundi B
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.Misri | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2. A.Kusini | 3 | 2 | 0 | 1 | 6 |
| 3.Angola | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Zimbabwe | 3 | 0 | 1 | 2 | 1 |
Kundi C

| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Nigeria | 3 | 3 | 0 | 0 | 9 |
| 2. Tunisia | 3 | 1 | 1 | 1 | 4 |
| 3.Tanzania | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Uganda | 3 | 0 | 1 | 2 | 1 |
Kundi D
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Senegal | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2.Dr.Congo | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 3.Benin | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4.Botswana | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
Kundi E
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Algeria | 3 | 3 | 0 | 0 | 9 |
| 2.B. Faso | 3 | 2 | 0 | 1 | 6 |
| 3.Sudan | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4.Eq.Guinea | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
Kundi F
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.I. Coast | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 |
| 2. Cameroon | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 |
| 3.Mozambique | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4. Gabon | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
SOMA HII: AFCON 2025 Senegal 3-1 Sudan/ Highlights, goals, award, fixtures

Hitimisho
AFCON 2025: Sami Trabelsi kufukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia inatajwa kutokana na mwendo wake kutokuwa bora. Timu hiyo ilikuwa kundi C ikimaliza nafasi ya pili kwenye msimamo. Mchezo wa tatu iligawana alama moja na Tanzania kwa kufungana 1-1.

