- Brahim Diaz amefunga goli pekee la ushindi katika Africa Cup of Nations
- AFCON 2025: Morocco 1-0 Tanzania hatua ya 16 bora mchezo ukikamilika
- Ratiba na matokeo ya AFCON 2025 hatua ya 16 bora, msimamo makundi tumekusogezea hapa
AFCON 2025: Morocco 1-0 Tanzania ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya 16 bora. Wenyeji wanasonga mbele hatua ya robo fainali. Goli la ushindi limefungwa na Brahim Diaz dakika ya 64. Mfungaji wa goli la ushindi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo.
SOMA HII: AFCON 2025: Sami Trabelsi kufukuzwa kazi timu ya taifa Tunisia/ Highlights, fixtures, standings
Bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa
Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

AFCON 2025: Morocco 1-0 Tanzania

AFCON 2025: Morocco 1-0 Tanzania, Brahim Diaz amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Matokeo hayo yanaifanya Morocco kuungana na Senegal na Mali hatua ya robo fainali.

Takwimu muhimu Morocco vs Tanzania
| Morocco | Tanzania | |
| 12 | Mashuti | 4 |
| 3 | Lenga lango | 1 |
| 73% | Umiliki | 27% |
| 15 | Faulo | 18 |
| 0 | Kadi nyekundu | 0 |
| 1 | Kadi za njano | 5 |
| 4 | Kona | 0 |
| 2 | Kuotea | 1 |
Matokeo ya 16 bora
Januari 3,2025: Mali 1-1 Tunisia, Uwanja wa Mohammed V, Casablanca.
Wafungaji
Lassine Sinayoko dakika ya 90+6 kwa penalti alifunga kwa Mali.
First Chaouat dakika ya 88 alifunga kwa Tunisia. Dakika 120 zilikamilika ngoma ikiwa ni 1-1 mshindi alipatikana kwa penalti Mali 3-2 Tunisia.
Takwimu muhimu Mali vs Tunisia
| Mali | Tunisia | |
| 4 | Mashuti | 9 |
| 1 | Lenga lango | 3 |
| 27% | Umiliki | 73% |
| 11 | Faulo | 18 |
| 1 | Kadi nyekundu | 0 |
| 4 | Kadi za njano | 6 |
| 4 | Kona | 11 |
| 1 | Kuotea | 4 |
Takwimu muhimu Senegal vs Sudan
| Senegal | Sudan | |
| 12 | Mashuti | 8 |
| 7 | Lenga lango | 3 |
| 67% | Umiliki | 33% |
| 15 | Faulo | 10 |
| 0 | Kadi nyekundu | 0 |
| 2 | Kadi za njano | 2 |
| 7 | Kona | 4 |
| 3 | Magoli | 1 |
SOMA HII: AFCON 2025: Matokeo, hawa hapa wafungaji bora kabla ya Ratiba ya 16 bora, Feisal na Msuva wamo?

Wafungaji
Januari 3, 2025: Senegal 3-1 Sudan umechezwa Grand Stade de Tanger.
Aamir Abdallah dakika ya 6 Sudan.
Pape Gueye dakika ya 29 na 45+3 kwa Senegal
Ibrahim Mbaye dakika ya 77 kwa Senegal.
Jumapili, Januari 4,2026
Afrika Kusini vs Cameroon saa 4:00 usiku
Jumatatu, Januari 5,2026
Misri vs Benin saa 1:00 usiku
Nigeria vs Msumbiji, saa 4:00 usiku
Jumanne, Januari 6, 2026
Algeria vs Dr Congo saa 1:00 usiku
Ivory Coast vs Burkina Faso, saa 4:00 usiku.
Msimamo wa makundi ulivyokuwa

Kundi A
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.Morocco | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2. Mali | 3 | 0 | 3 | 0 | 3 |
| 3.Comoros | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Zambia | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
Kundi B
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.Misri | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2. A.Kusini | 3 | 2 | 0 | 1 | 6 |
| 3.Angola | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Zimbabwe | 3 | 0 | 1 | 2 | 1 |
Kundi C
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Nigeria | 3 | 3 | 0 | 0 | 9 |
| 2. Tunisia | 3 | 1 | 1 | 1 | 4 |
| 3.Tanzania | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Uganda | 3 | 0 | 1 | 2 | 1 |
Kundi D
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Senegal | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2.Dr.Congo | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 3.Benin | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4.Botswana | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
Kundi E
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Algeria | 3 | 3 | 0 | 0 | 9 |
| 2.B. Faso | 3 | 2 | 0 | 1 | 6 |
| 3.Sudan | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4.Eq.Guinea | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
Kundi F
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.I. Coast | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 |
| 2. Cameroon | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 |
| 3.Mozambique | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4. Gabon | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
SOMA HII: AFCON 2025 hatua ya 16 bora ratiba/ Morocco vs Tanzania kuwashangaza wengi, msimamo

Hitimisho
AFCON 2025 Morocco 1-0 Tanzania wenyeji wamepenya hatua inayofuata. Diaz goli lake kipindi cha pili lilibadilisha matokeo. Miguel Gamondi Kocha Mkuu wa Tanzania aliingia na mbinu ya kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza.

