- Tumekuletea ratiba ya Yanga SC mechi 5 zijazo NBC Premier League 2026/27 kwa mabingwa watetezi
- Yanga SC vs Coastal Union ni mchezo ujao unatarajiwa kuchezwa Agosti 20, Uwanja wa Uhuru
- Fountain Gate vs Yanga SC huu unatarajiwa kuwa mchezo wa pili kwa mabingwa watetezi kuwa ugenini
Ratiba ya Yanga SC mechi 5 zijazo NBC Premier League 2026/27. Mabingwa hawa watetezi watakuwa na mechi 3 mfululizo nyumbani kabla ya kukwea pipa kuelekea Arusha ugenini. Wananchi chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wanaendelea na mazoezi kambini Avic kwa mchezo ujao dhidi ya Coastal Union.
Usajili mpya Yanga SC: Usajili mpya Yanga SC balaa: Ali Kamwe atangaza mashine mbili mpya, namba 6 yatikisa, je ni Feisal?
Je, bado hujashinda mamilioni ya aviator ‘Kindege’ cha SportPesa? Cheza ushinde mamilioni sasa
Changamka! sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi zaidi ya milioni 800 muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Taarifa muhimu ratiba ya Yanga SC mechi 5 zijazo NBC Premier League

Mashindano: NBC Premier League
Msimu: 2026/27
Nyumbani mechi 4
Ugenini: Mechi 3
Kocha Mkuu: Manqoba Mngqithi
Hii hapa ratiba ya mechi 5 zijazo Yanga SC
| Tarehe | Mechi | Muda (EAT) | Uwanja |
|---|---|---|---|
| Alhamisi, 20 Agosti 2026 | Yanga SC vs Coastal Union | 10:30 Jioni | Uwanja wa Uhuru |
| Jumatatu, 24 Agosti 2026 | Yanga SC vs JKT Tanzania | 12:00 Jioni | Uwanja wa Uhuru |
| Ijumaa, 28 Agosti 2026 | Yanga SC vs Pamba Jiji FC | 03:00 Usiku | Uwanja wa Uhuru |
| Jumanne, 01 Septemba 2026 | Fountain Gate vs Yanga SC | 10:00 Jioni | Uwanja wa Sheikh Amri Abeid |
| Jumanne, 08 Septemba 2026 | Yanga SC vs Geita Gold | 01:00 Usiku | Uwanja wa Uhuru |
Matokeo ya Yanga SC 2026/27

Usajili mpya Yanga SC: Usajili Yanga SC 2026/27: Hawa hapa wachezaji wapya 5 wazawa
Agosti 15,2026, Namungo FC 1-3 Yanga SC, Uwanja wa Majaliwa.
Hitimisho
Kwenye ratiba ya Yanga SC mechi 5 zijazo ugenini inatarajiwa kuwatumia nyota wake wapya. Miongoni mwa hao ni Seleman Mwalimu ambaye ni mshambuliaji mzawa ingizo jipya kutoka Wydad Casablanca. Aziz Ki kiungo mshambuliaji naye amerejea kwa mara nyingine kundini.

