- Yanga SC vs Tanzania Prisons, mzunguko wa 18 ni Aprili 4, 2026, Tanzania Premier League
- NBC Premier League ratiba 2025/26 Aprili ni moto wakuotea mbali
- Azam FC vs Simba SC itapigwa Aprili 5, 2026 Uwanja wa Azam Complex, Dar
- Dodoma Jiji FC vs Fountain Gate, Uwanja wa Airtel, Aprili 3, 2026
NBC Premier League ratiba 2025/26 Aprili mzunguko wa 18. Vigogo wote kazini kusaka pointi tatu muhimu. Yanga SC vs Tanzania Prisons ni Aprili 4, 2026 Jumamosi. Azam FC vs Simba SC ni Jumapili, Aprili 5.
SOMA HII: Ratiba ya Simba SC NBC Premier League 2025/26 ni moto | Msimamo, Mzizima Dabi, Kariakoo Dabi
Je bado haujashinda mamilioni ya SportPesa?
Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Bashiri na SportPesa uvune mkwanja sasa hivi kwa kubonyeza picha hapa chini.

NBC Premier League ratiba 2025/26 Aprili ni moto

NBC Premier League ratiba 2025/26 Aprili bandika bandua. Simba SC, Yanga SC, Azam FC waliopo tatu bora kazini. Kuna Dar Mzizima Dabi inasubiriwa Aprili 5. Ikumbukwe kwamba mzunguko wa kwanza ilikuwa Simba SC 0-2 Azam FC.
Wiki ya 18 NBC Premier League ratiba 2025/26 hii hapa
| Tarehe | Timu mwenyeji | Timu mgeni | Uwanja na muda | |
| Aprili 3,2026 | Dodoma Jiji FC | vs | Fountain Gate | Airtel, Singida saa 08:00 mchana |
| Aprili 3,2026 | Mbeya City | vs | KMC | Tanzanite Kwaraa, Manyara, saa 10:15 jioni |
| Aprili 4, 2026 | Mashujaa FC | vs | Pamba Jiji | Lake Tanganyika, saa 10:00 jioni |
| Aprili 4, 2026 | Yanga SC | vs | Tanzania Prisons | KMC Complex, saa 12:30 jioni |
| Aprili 4, 2026 | Namungo FC | vs | JKT Tanzania | Majaliwa, saa 9:00 usiku |
| Aprili 5, 2026 | TRA United | vs | Singida B.S | Sheikh Amri Abeid, saa 10:00 jioni |
| Aprili 5, 2026 | Azam FC | vs | Simba SC | Azam Complex, saa 1:00, usiku |
| Aprili 6, 2026 | Coastal Union | vs | Mtibwa Sugar | Mkwakwani,Saa 1:00 usiku |

SOMA HII: Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC Premier League/ Highlights, goal, statics

Msimamo wa NBC Premier League 2025/26
| POS | MP | W | D | L | PTS |
| 1.Yanga SC | 16 | 11 | 5 | 0 | 38 |
| 2.Simba SC | 14 | 9 | 4 | 1 | 31 |
| 3. Azam FC | 15 | 7 | 8 | 0 | 29 |
| 4. JKT Tanzania | 17 | 7 | 7 | 3 | 28 |
| 5.Pamba Jiji FC | 16 | 6 | 7 | 3 | 25 |
| 6.Singida Black Stars | 15 | 7 | 4 | 4 | 25 |
| 7.Mtibwa Sugar | 17 | 5 | 7 | 5 | 22 |
| 8.Namungo FC | 17 | 5 | 6 | 6 | 21 |
| 9.Dodoma Jiji FC | 17 | 5 | 6 | 6 | 21 |
| 10.TRA United SC | 16 | 5 | 5 | 6 | 20 |
| 11.Mashujaa FC | 17 | 4 | 7 | 6 | 19 |
| 12.Fountain Gate FC | 16 | 4 | 4 | 8 | 16 |
| 13.Coastal Union | 16 | 3 | 6 | 7 | 15 |
| 14.Mbeya City | 16 | 3 | 4 | 9 | 13 |
| 15.Tanzania Prisons | 17 | 3 | 4 | 10 | 13 |
| 16. KMC FC | 16 | 2 | 2 | 12 | 8 |
SOMA HII: Simba SC 3-0 TRA United highlights, H2H, standings, twakimu | Matokeo ya NBC Premier League

Hitimisho
NBC Premier League ratiba 2025/26 Aprili vigogo wanaendelea walipoishia. Mabingwa watetezi ni Yanga SC wanaongoza ligi watawakaribisha Tanzania Prisons. KMC FC inaburuza mkia ipo katika hatari kushuka daraja itakuwa ugenini. Matokeo na ratiba zote utazipata hapa.

