Simba SC na kibarua kuikabili TRA UnitedKibabage vs Pamba Jiji FC
  • Jumapili, Machi 22,2026 Uwanja wa Meja General Isahmuyo, Simba SC vs TRA United NBC Premier.
  • Simba SC na kibarua kuikabili TRA United.
  • Steve Barker kavurugwa bado na matokeo ya Pamba Jiji FC.

Simba SC na kibarua kuikabili TRA United, NBC Premier League, Uwanja wa Meja General Isahmuyo. Mchezo huo unafuata wakitoka kuvurugwa vs Pamba Jiji FC kwa kufungana 1-1. Steve Barker, Kocha Mkuu wa Simba SC alibainisha walikuwa wanahitaji pointi tatu ugenini wakaambulia moja.

SOMA HII: TRA United vs Simba SC nani atashinda?/ H2H, Standings, live score

Je bado hujashinda mamilioni ya SportPesa? Cheza Aviator ushinde muda huu

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Bashiri na SportPesa uvune mkwanja sasa hivi kwa kubonyeza picha hapo chini.

Aviator

Simba SC na kibarua kuikabili TRA United, Jumapili

Simba SC na kibarua kuikabili TRA United
Oura mfungaji wa goli la uongozi vs Pamba Jiji FC NBC Premier League.Source: Simba SC.

Baada ya safari kutoka Mwanza Simba SC na kibarua kuikabili TRA United ratiba inayofuata. Matokeo yaliyopita hayakumpendeza Barker, kazi kubwa inatarajiwa kufanyika kesho. Wapinzani wao wamebainisha watapambana kupata matokeo mazuri.

Maoni ya Steve Barker wa Simba SC

“Tumetoka kupata alama moja mchezo uliopita. Ni matokeo ambayo hayatupendezi kutokana na nafasi ambazo tulipata. Majaribio mawili hayakuwa na matokeo mazuri kwetu na tulikuwa kwenye nafasi ya kupata ushindi.

Christina Mwagala, Ofisa Habari wa TRA United maoni

Christina
Christina Mwagala, Ofisa Habari wa TRA United. Source: TRA United.

“Tulikuwa na mchezo dhidi ya Simba SC nyumbani ila uliahirishwa kwa kuwa maandalizi tulifanya hakuna tatizo. Tunaendelea pale tulipoisha ili kupata matokeo mbele ya mpinzani wetu, tupo tayari kwa mchezo,”.

H2H Simba SC vs TRA United

Februari 2,2025, TRA United 0-3 Simba SC, Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.

Agosti 18,2024- Simba SC 3-0 TRA United, Uwanja wa KMC Complex

Mei 6,2024- Simba SC 2-0 TRA United, Uwanja wa Azam Complex

Februari 6,2024- TRA United 0-4 Simba SC, Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.

SOMA HII: Ratiba ya Simba SC 2025/26 Machi dakika 450 za kazi/ Msimamo, matokeo

Aviator

Msimamo wa Simba SC vs TRA United

POSMPWDLPTS
3.Simba SC1384128
10. TRA United1555520

Hitimisho

Simba SC na kibarua kuikabili TRA United iliyotoka kuvuna pointi moja dhidi ya Yanga SC. Mnyama kwenye mechi mbili mfululizo aliruhusu magoli. Je nani ataibuka shujaa mchezo wa kesho?

Share this: