Mashujaa FC yaibana Azam FCFeisal vs Mashujaa FC
  • HT: Mashujaa FC 0-0 Azam FC NBC Premier League
  • Azam FC wamepiga jumla ya mashuti 5 ambayo hayajalenga lango la wapinzani
  • Feisal Salum amewekwa chini ya uangalizi mkali na mabeki wa Mashujaa FC

Mashujaa FC 0-0 Azam FC dakika 45 za mwanzo. Wababe hawa wapo Uwanja wa Lake Tanganyika leo Machi 19,2026. Timu zote mbili zinakwenda mapumziko zikiwa hazijafungana, dakika 45 za kipindi cha pili zitaamua nani atashinda ama watagawana pointi.

SOMA HII: Azam yawabadilishia Uwanja Yanga Sc | Na ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania imebadilika

Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Aviator

Rekodi za Mashujaa FC 0-0 Azam FC

Mashujaa FC 0-0 Azam FC
Mashujaa vs Azam FC, Lake Tanganyika.
Mashujaa FC Azam FC
3Mashuti5
1Lenga lango0
43%Umiliki57%
2Mashuti yasiyolenga lango6
0Kadi nyekundu0
0Kadi ya njano1
2Kona4
0Magoli0

HT: Msimamo wa Mashujaa FC vs Azam FC

POSMPWDLPTS
2. Azam FC1578029
11. Mashujaa FC1747619

Kikosi cha Mashujaa FC vs Azam FC

Langoni ni Patrick Munthali.

Wachezaji wengine ni Baraka Mtuwi, Samweli Onditi, Samsoni Madeleke, Abdulnasir Assa, Mgandila Shaban, Mpoki Mwakinyuke, Mohamed Mussa, Salum Kihimbwa, Ismail Mgunda na Crispin Ngushi.

Wachezaji wa akiba

 Hassan Haji, Nyerezi Shaban, Jaffar Kibaya, Seleman Bwenzi,Frank Magingi, David Uromi, Lameck Kanyonga, Mikaidad Ally na Baraka Charles.

Kikosi cha Azam FC vs Mashujaa FC

Fei
Fei Toto kiungo wa Azam FC. Source: Azam FC.

Aishi Manula mlinda mlango wa Azam FC ameanza kikosi cha kwanza ambacho kitawakabili Mashujaa FC leo, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma.

Wachezaji wengine ni Himid Mao, Sadio Kanoute, Twalibu Nuru, Lusajo Mwaikenda, Pascal Msindo, Zidane Sereri, Feisal Salum, Ashrafu Kibeku, Lameck Lawi, Idd Nondo.

Wachezaji wa akiba

 Abah Abel, James Akaminko, Jean Ngita, Yeison Fuentes, Diakite, Landry Zouzou, Jeremiah Kitambala,Yoro Diaby na Alobogast Charles.

SOMA HII: Aishi Manula amesaini mkataba kuitumikia Azam FC akitokea Simba SC | Rekodi zake na tuzo

Aviator
Share this: