Taarifa mpya Tanzania Prisons vs Yanga SCKimenya Prisons

Taarifa mpya Tanzania Prisons vs Yanga SC zinaeleza kuwa timu zote zimewasili Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Awali kulikuwa na mkanganyiko kuhusu uwanja ambapo Prisons taarifa ya awali waliuchagua Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Taarifa rasmi kutoka Bodi ya Ligi ilieleza mchezo utachezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

SOMA HII: Yanga SC 7-1 Polisi Tanzania CRDB Federation Cup kituo kinachofuata Mbeya/ Ratiba na msimamo

Bado hujashinda? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Taarifa mpya Tanzania Prisons vs Yanga SC

Taarifa mpya Tanzania Prisons vs Yanga SC
Bacca beki wa Yanga SC ndani ya Dodoma. Source: Yanga SC

Kutoka Dodoma, taarifa mpya Tanzania Prisons vs Yanga SC timu zote mbili zimewasili uwanjani. Ni suala la muda nani atavuna pointi tatu muhimu. Wananchi ni vinara wanatetea taji hilo kwa msimu wa 2025/26. Wajelajela wapo kwenye hatari yakushuka daraja.

Tanzania Prisons nafasi ya 15 ikiwa na pointi 13 baada ya mechi 15. Inakutana na Yanga SC iliyo nafasi ya kwanza na pointi 32 baada ya mechi 12. Wananchi hawajapoteza mchezo ndani ya NBC Premier League.

Kikosi cha Tanzania Prisons vs Yanga SC

Langoni ni Mussa Mbissa

Lambart Sabiyanka

Doto Shaban

Jeremia Juma

Marco Mhilu

Michael Mutinda

Wema Sadoki

Salum Kimenya

Maurince Owino

George Mpole

Haruni Chanongo

Wachezaji wa akiba

Emmanuel Martin, Never Kaboma,Kelvin Sagati, Heritier, Masoud Abdalah, Ramadhan Mwenda, Edward Mwakyusa, Samson Mbangula, Oscar Mwajanga na Idd Lugendo.

SOMA HII: Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni moto/ Mechi 5 NBC Premier League ugenini/ Msimamo, matokeo

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons

D-Diara
Diarra

Langoni

Djigui Diarra

Mabeki

Israel Mwenda

Zimbwe Jr

Nondo

Bacca

Viungo

Damaro

Abuya

Maxi

Mudathir

Okello

Mshambuliaji

Prince Dube.

Wachezaji wa akiba

Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu.

Share this: