- Simba SC vs Stade de Malieon CAF Champions League Februari 14, 2026 Uwanja wa Mkapa
- Saa 1:00 ni muda wa mchezo kwa hatua ya makundi
- Stade Malien ni vinara wa kundi uhakika robo fainali CAF, Simba SC mambo ni magumu
Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League ni mchezo wa kundi D unatarajiwa kupigwa Februari 14,2026. Ikumbukwe kwamba walipokutana ugenini ilikuwa Stade Malien 2-1 Simba SC haya yalikuwa matokeo rasmi mchezo wa kwanza. Kesho ni vita ya vinara wa kundi dhidi ya timu inayoburuza mkia, Uwanja wa Mkapa.
SOMA HII: Ratiba ya mechi za CAF Champions League 2025/26/ Matokeo na magoli
Unasubiri nini? Vuna mamilioni sasa hivi
Kuna jambo umekwama kwa sasa kuhusu mkwanja? Usiogope, rubani ni jasiri na kazi yake ni kupaisha kindege cha SportPesa. Cheza sasa hivi Aviator uvune mamilioni bofya hapa chini, muda ni wako na nafasi ya ushindi inakusubiri.

Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League utabiri unasemaje?

Kuelekea Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League mgeni anatabiriwa kupata ushindi. Hii inatokana na mwendo wa mnyama kwenye mechi za nyumbani. Katika mechi mbili zilizopita hakuna ushindi nyumbani kwenye mechi za CAF.
Mchezo wa kwanza ilipoteza kwa kufungwa goli 1-0 dhidi ya Petro de Luanda. Pointi moja ilivunwaa kwa kufungana 2-2 Es Tunis. Kesho ni mchezo wa 3 kwa Simba SC Uwanja wa Mkapa.
Licha yakushindwa kuvuna pointi tatu nyumbani bado nafasi ipo kupata matokeo. Ni dakika 90 zitaamua matokeo rasmi.
Haya hapa matokeo ya Simba SC CAF Champions League

| 23/11/2025 | Simba SC | 0 | 1 | Petro de Luanda |
| 30/11/2025 | Stade de Malien | 2 | 1 | Simba SC |
| 24/01/2026 | Es Tunis | 1 | 0 | Simba SC |
| 01/02/2026 | Simba SC | 2 | 2 | Esperance de Tunis |
| 7/2/2026 | Petro de Luanda | 1 | 1 | Simba SC |

SOMA HII: CAF Champions League ratiba ya funga kazi hatua ya makundi 2025/26
Mechi ya mwisho kwa Simba SC CAF
| Tarehe | Mwenyeji | Mgeni | |
| 13/02/2026 | Simba SC | vs | Stade de Malien |
Msimamo wa kundi D

| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Stade Malien | 5 | 3 | 2 | 0 | 11 |
| 2. Esperance de Tunis | 5 | 1 | 3 | 1 | 6 |
| 3. Petro de Luanda | 5 | 1 | 3 | 1 | 6 |
| 4.Simba SC | 5 | 0 | 2 | 3 | 2 |
Hitimisho
Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League ni funga kazi Uwanja wa Mkapa. Saa 1:00 usiku mchezo unatarajiwa kuchezwa. Wageni utakuwa ni mchezo wa mwisho jumla huku wenyeji wakiendelea hatua ya robo fainali.

