Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions LeagueSimba SC
  • Simba SC vs Stade de Malieon CAF Champions League Februari 14, 2026 Uwanja wa Mkapa
  • Saa 1:00 ni muda wa mchezo kwa hatua ya makundi
  • Stade Malien ni vinara wa kundi uhakika robo fainali CAF, Simba SC mambo ni magumu

Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League ni mchezo wa kundi D unatarajiwa kupigwa Februari 14,2026. Ikumbukwe kwamba walipokutana ugenini ilikuwa Stade Malien 2-1 Simba SC haya yalikuwa matokeo rasmi mchezo wa kwanza. Kesho ni vita ya vinara wa kundi dhidi ya timu inayoburuza mkia, Uwanja wa Mkapa.

SOMA HII: Ratiba ya mechi za CAF Champions League 2025/26/ Matokeo na magoli

Unasubiri nini? Vuna mamilioni sasa hivi

Kuna jambo umekwama kwa sasa kuhusu mkwanja? Usiogope, rubani ni jasiri na kazi yake ni kupaisha kindege cha SportPesa. Cheza sasa hivi Aviator uvune mamilioni bofya hapa chini, muda ni wako na nafasi ya ushindi inakusubiri.

image

Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League utabiri unasemaje?

Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League
Wachezaji wa Simba SC kwenye maandalizi ya mchezo wa CAF Champions League. Source: Simba SC

Kuelekea Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League mgeni anatabiriwa kupata ushindi. Hii inatokana na mwendo wa mnyama kwenye mechi za nyumbani. Katika mechi mbili zilizopita hakuna ushindi nyumbani kwenye mechi za CAF.

Mchezo wa kwanza ilipoteza kwa kufungwa goli 1-0 dhidi ya Petro de Luanda. Pointi moja ilivunwaa kwa kufungana 2-2 Es Tunis. Kesho ni mchezo wa 3 kwa Simba SC Uwanja wa Mkapa.

Licha yakushindwa kuvuna pointi tatu nyumbani bado nafasi ipo kupata matokeo. Ni dakika 90 zitaamua matokeo rasmi.  

Haya hapa matokeo ya Simba SC CAF Champions League

Matokeo ya Simba SC CAF
Simba SC vs de Tunis, Uwanja wa Mkapa. Source: Simba SC.
23/11/2025Simba SC01Petro de Luanda
30/11/2025  Stade de Malien21Simba SC
24/01/2026  Es Tunis10Simba SC
01/02/2026  Simba SC22Esperance de Tunis
7/2/2026Petro de Luanda11Simba SC
aviator

SOMA HII: CAF Champions League ratiba ya funga kazi hatua ya makundi 2025/26

Mechi ya mwisho kwa Simba SC CAF

TareheMwenyeji Mgeni
13/02/2026  Simba SCvsStade de Malien

Msimamo wa kundi D

KMC vs Simba SC NBC Premier
Deruck beki chaguo la kwanza Simba SC. Source: Simba SC
 MPWDLPTS
1. Stade Malien532011
2. Esperance de Tunis51316
3. Petro de Luanda51316
4.Simba SC50232

Hitimisho

Simba SC vs Stade de Malien CAF Champions League ni funga kazi Uwanja wa Mkapa. Saa 1:00 usiku mchezo unatarajiwa kuchezwa. Wageni utakuwa ni mchezo wa mwisho jumla huku wenyeji wakiendelea hatua ya robo fainali.

Share this: