Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025Mbwana Stars vs Nigeria
  • African Cup of Nations inazidi kupasua anga nchini Morocco kwa timu kusaka ushindi uwanjani.
  • Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025 kutoka kundi C mchezo wa kwanza.
  • DR Congo 1-0 Benin, Senegal 3-0 Botswana

Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025 ni matokeo rasmi mchezo wa hatua ya makundi ikiwa ni kundi C. Katika Uwanja wa Fes Sports Complex wababe hawa wawili walikuwa wakipambania ushindi. Huu ni mchezo wa kwanza kwa Tanzania iliyo kundi C imebakiwa na mechi mbili.

SOMA HII: Afcon 2025: Hawa hapa wachezaji 10 wanaolipwa pesa nyingi

Bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

image

Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025, Zuber Foba kwenye lango la Tanzania

Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Source: Taifa Stars,

Wakati ubao ukisoma Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025, mlinda mlango Zuber Foba alikuwa langoni kwa Stars. Hii ilitokana na kipa namba moja Yakoub Suleman kupata maumivu. Kipa huyo alionyesha umakini kwenye kutimiza majukumu licha ya Tanzania kupoteza.

Magoli ya mchezo wafungaji

Kwa upande wa Nigeria ni Semi Ajay dakika ya 36

Ademoola Lookman dakika ya 52.

Goli la Tanzania limefungwa na Charlse M’mombwa dakika ya 50.

Kikosi cha timu ya taifa ya Nigeria vs Tanzania

Nwabali, Osayi-Samuel, Sanusi, Ndidi, Ajayi, Lookman, Osimhen, Chukwueze, Iwobi, Bassey, Adams

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania vs Nigeria

Lookman
Nyota wa Nigeria kwenye mchezo dhidi ya Tanzania. Source: CAF


Zuberi Foba, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen, Ibrahim Bacca, Bakari Mwamnyeto, Novatus Miroshi.

Alphonce Mabula, Saimon Msuva, Charles M’Mombwa, Mbwana Samatta, Tarryn Allakarakhia.

Wachezaji wa akiba

Hussen Masalanga, Pascal Msindo, Dickson Job, Nickson Kibabage, Iddi Nado, Kibu Dennis, Wilson Nangu, Morice Abraham, Lusajo Mwaikenda, Kelvin John, Yusuph Kagoma, Kelvin Nashon, Haji Mnoga.

SOMA HII: AFCON 2025 Morocco 2-0 Comoros/ Highlights, goals, fixtures

image

Matokeo ya mechi nyingine

Dr Congo 1-0 Benin

Theo Bongoda goli dakika ya 16

Senegal 3-0 Botswana magoli yamefungwa na Nicolas Jackson dakika ya 40 na 58

Cherif Ndiaye dakika ya 90.

Hitimisho

Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025 karata ya kwanza kwa Tanzania kati ya zile tatu. Mechi mbili mkononi zimebaki katika kusaka hatua ya robo fainali. Nigeria wanaongoza kundi wakiwa na pointi 3 huku Tanzania ikiwa haijavuna pointi.

Share this: