SportPesa Goal Rush -Weekly Winners.Goal Rush -Weekly Winners-Banner

Kampuni ya SportPesa Tunayo furaha kubwa kuwaletea tena safu ya washindi wa SPORTPESA Goal Rush kwa wiki hii, ambapo mashindano yaliendelea kwa kishindo baada ya wiki iliyopita! Tumejionea msisimko wa soka ukiendelea na ubashiri wa kipekee kutoka kwa mashabiki wetu waliothibitisha tena uwezo wao wa kutabiri matokeo kwa usahihi.

SPORTPESA
Goal Rush -Washindi wa wiki

Mchezo wa Goal Rush unazidi kuwa mtihani wa maarifa kwa wapenzi wa soka nchini Tanzania, Mchezo huu ukitaka kujua nani anaweza kutabiri timu itakayofunga kwanza, katika kipindi gani, na hata dakika kamili bao hilo litakapofungwa. Mashindano ya wiki hii yameleta changamoto mpya na washindi walionyesha ustadi wao kwa kubashiri matokeo sahihi.

Hii ni orodha ya washindi wa wiki hii, ambao kila mmoja alijishindia zawadi ya Tsh 200,000/= kila siku, huku zawadi kuu ya Tsh 100,000,000/= ikiendelea kusubiri mshindi wa kutabiri matokeo kamili katika seti tatu za mechi. Je, unaweza kuwa wewe?

 

Jumatatu: MKWANJA MONDAY

SPORTPESA

SPORTPESA

 

 

Jumanne: TAJIRI TUESDAY

SPORTPESA

 

SPORTPESA

 

Jumatano: Zali Day Wednesday

SPORTPESA

SPORTPESA

 

 

Alhamisi: Maokoto Thurday

SPORTPESA

 

 

SPORTPESA

Ijumaa: Faidika Friday

SPORTPESA

Goal Rush Winner FRID-Artboard -

JUMAMOSI

SPORTPESA

 

SPORTPESA

 

Wiki iliyopita tuliwasherehekea mabingwa wa soka, na wiki hii pia tunasherekea ushindi wa wengine mambo ni moto! Je, unajiandaa kuwa kwenye orodha ya mabingwa wa wiki ijayo? Usikose kujiunga nasi tena kwenye msisimko wa Goal Rush na uonyeshe uwezo wako wa kutabiri soka kwa usahihi!

Endelea kucheza, na tunawatakia kila la kheri

SportPesa Ushindi Upo Nawe !!

 

Share this:

By Joel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.