Ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 6 | Azam FC vs Simba SC | Yanga SC vs Geita Gold | Livescores

ByLunyamadizo Mlyuka

September 11, 2026
Ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 6Steve Barker (-)Steve Barker (-)
  • Hapa tumekuletea ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 6 ambao utakuwa na mechi kali zenye ushindani.
  • Yanga SC vs Geita Gold utapigwa Uwanja wa KMC Complex na Azam FC vs Simba SC utapigwa Azam Complex.
  • Kagera Sugar inayoburuza mkia itakuwa na kibarua kusaka pointi 3 muhimu dhidi ya Fountain Gate, Uwanja wa Kaitaba
  • Fuatilia matukio, lineups, stats na livescores kupitia SportPesa Score

Kivumbi cha NBC Premier League kinaendelea kwa ratiba yenye mechi kali. Ni vita yakuwania ubingwa wa ligi ambao upo mikononi mwa Yanga SC yenye maskani yake Kariakoo. Ratiba ina mechi kali ikiwemo ile ya Mzizima Dabi, Azam FC vs Simba SC, Uwanja wa Azam Complex, Septemba 16, 2026.

Ijue ratiba na mechi zote: Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27: Mechi zote 240 | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika

Ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 6
Selee

Una nafasi yakushinda mamilioni sasa hivi

Kupitia odds zilizoboreshwa kuna nafasi yakushinda mamilioni. Suka mkeka wako kwenye mechi zinazochezwa ikiwemo Dodoma Jiji FC vs Namungo. Bashiri kwa uwajibikaji.

Dodoma Jiji FC vs Namungo
Dodoma Jiji FC vs Namungo

Hii hapa ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 6 2026/27

TareheTimuUwanja
Septemba 9, 2026Mashujaa FC vs Singida Black StarsUwanja wa Lake Tanganyika
Septemba 11, 2026Dodoma Jij FC vs Namungo FCUwanja wa Jamhuri, Dodoma
Septemba 12,2026Polisi Tanzania vs Mbeya CityUwanja wa Sheikh Amri Abeid
Septemba 12, 2026Coastal Union vs JKT TanzaniaUwanja wa Mkwakwani
Septemba 13, 2026Pamba Jiji FC vs TRA UnitedUwanja wa CCM Kirumba
Septemba 13,2026Kagera Sugar vs Fountain GateUwanja wa Kaitaba
Septemba 15,2026Yanga SC vs Geita GoldUwanja wa KMC Complex
Septemba 16,2026Azam FC vs Simba SC Uwanja wa Azam Comple

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

Kwenye msimamo wa ligi vinara ni Yanga SC wakiwa na pointi 15. Kagera Sugar wanaburuza mkia. Simba SC nafasi ya pili ikiwa na pointi 15 tofauti kwenye idadi ya mabao yakufunga na kufungwa.

Polisi Tanzania
Msimamo wa NBC Premier League 2026/27

Matokeo ya Simba SC: Simba SC: Matokeo, Ratiba na Msimamo Ligi Kuu Bara 2026/27

Hitimisho

Kila mchezo katika ratiba ya NBC Premier League mzunguko wa 6 una mvuto wakipekee kutokana na maandalizi. Mwisho wa msimu timu mbili ambazo zitashika nafasi ya 15 na 16 zitashuka daraja na zile za nafasi ya 13 na 14 zitacheza Play Off. Endelea kufuatilia SportPesa Blog na ubashiri kwa uwajibikaji kupitia SportPesa.



Share this: