TRA United yaibana mbavu Yanga SCNondo vs TRA United
  • Yanga SC 0-0 TRA United, NBC Premier League, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha
  • TRA United yaibana mbavu Yanga SC kwa mchezo kukamilika bila kufungana
  • Mzamiru Yassin alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 85 ya mchezo
  • Pedro Goncalves aongoza kikosi mechi mbili mfululizo bila kushangilia goli

TRA United yaibana mbavu Yanga SC NBC Premier League. Mchezo umekamilika bila timu kufungana. Mzamiru Yassin ameonyeshwa kadi nyekundu kwa wakusanya mapato. Hii ni baada ya kadi mbili za njano dakika ya 35 na ile ya pili dakika ya 85. Mchezo uliopita ilikuwa Azam FC 0-0 Yanga SC, Uwanja wa Mkapa.

SOMA HII: TRA United vs Yanga SC NBC Premier League Machi 18/2026 Arusha/ H2H, lineups, statics, live score

Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Aviator

TRA United yaibana mbavu Yanga SC NBC Premier League

TRA United yaibana mbavu Yanga SC
Zimbwe Jr vs TRA United NBC Premier League. Source: Yanga SC.

 TRA United yaibana mbavu Yanga SC NBC Premier League kwa kugawana pointi mojamoja. Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Yanga SC. Matokeo hayo yanakamilisha mzunguko wa kwanza kwa vinara kuendeleza rekodi yao yakutofungwa.

Rekodi za TRA United 0-0 Yanga SC

TRA United Yanga SC
5Mashuti7
1Lenga lango1
35%Umiliki65%
4Mashuti yasiyolenga lango6
1Kadi nyekundu0
3Kadi ya njano1
0Kona2
0Magoli0

Msimamo wa TRA United 0-0 Yanga SC

POSMPWDLPTS
1.Yanga SC15114036
10.TRA United1555520

Kikosi cha TRA United vs Yanga SC

Joseph
Joseph nyota wa TRA United vs Yanga SC. Source: TRA United.

Langoni ni Noel

Wachezaji wengine ni Chobwedo, Kombo, Chamou, Joseph, Mapaka, Mzamiru Yassin.

Jamal, Nouma, Lazarus, Chewe hawa wameanza kikosi cha kwanza.

Wachezaji wa akiba

Fikirini, Makoye, Msati, Enock, Isack, Kaizer, Omari, Ally, Tebandeke, Mugoya.

SOMA HII: Azam FC vs Yanga SC: Jeshi la Yanga SC latua Dar leo Ijumaa, h2h, Ratiba, matokeo Ligi Kuu ya NBC

Aviator

Kikosi cha Yanga SC vs TRA United

langoni

Djigui Diarra.

Mabeki ni Israel Mwenda, Mohamed Hussen, Bakari Nondo na Assink

Viungo

 Damaro

Maxi Nzengeli

Duke Abuya

Pacome

Shekhan.

Mshambuliaji

Prince Dube

Wachezaji wa akiba

Mudathir
Mudathir kiungo wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Masalanga, Yao, Andabwile, Abubakar, Abdulnasir, Mudathir, Mwanengo, Kouma, Buba na Okello.

Hitimisho

TRA United yaibana mbavu Yanga SC kwenye mchezo wa ligi. Mbinu ya Kocha Mkuu, Ettiene Ndayiragije kujilinda imewapa pointi moja. Yanga SC chini ya Pedro Goncalves walikuwa imara katika kushambulia na umiliki wa mpira.

SOMA HII: Ali Kamwe: Kuna wachezaji wapya watatu kutambulishwa Yanga SC/ Zimbwe Jr usajili wa mkubwa

Aviator
Aviator
Share this: