Tanzania Prisons 0-0 Yanga SCD-Diara
  • Dicson Job mikoba yake mikononi mwa Bakari Nondo,Uwanja wa Jamhuri, Dodoma
  • Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC NBC Premier League dakika 45 za mwanzo
  • Depu ameanzia benchi, Prince Dube anaongoza jahazi la ushambuliaji

Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC matokeo ya dakika 45 za kipindi cha kwanza Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. NBC Premier League inazidi kupamba moto. Wananchi wamekuwa imara katika umiliki na wenyeji imara kwenye ulinzi.

Bado hujashinda? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

SOMA HII: NBC Premier League wiki ya moto/ Singida Black Stars vs Simba SC/ Tanzania Prisons vs Yanga SC

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC rekodi

Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
Yanga SC vs Tanzania Prisons NBC Premier League

HT: Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC hapa tunakusogezea rekodi zao. Mashuti yaliyopigwa ni manne kwa Yanga SC. Wenyeji bado wanamvutia kasi Djigui Diarra.

Beki Dickson Job hayupo kikosi cha kwanza kwa kuwa hayupo fiti. Nafasi yake ameanza nahodha Nondo akishirikiana na Bacca.

Tanzania Prisons Yanga SC
0Mashuti4
0Lenga lango1
39%Umiliki61%
0Mashuti yasiyolenga lango3
0Kadi nyekundu0
1Kadi ya njano0
0Kona3
0Magoli0

Msimamo Tanzania Prisons vs Yanga SC

POSMPWDLPTS
1. Yanga SC13103033
14. Tanzania Prisons1635814

Kikosi cha Tanzania Prisons vs Yanga SC

Langoni ni Mussa Mbissa

Lambart Sabiyanka

Doto Shaban

Jeremia Juma

Marco Mhilu

Michael Mutinda

Wema Sadoki

Salum Kimenya

Maurince Owino

George Mpole

Haruni Chanongo

Wachezaji wa akiba

Emmanuel Martin, Never Kaboma,Kelvin Sagati, Heritier, Masoud Abdalah, Ramadhan Mwenda, Edward Mwakyusa, Samson Mbangula, Oscar Mwajanga na Idd Lugendo.

SOMA HII: Tanzania Prisons 0-5 Yanga SC dakika 180 wapigwa nje ndani/ Kariakoo Dabi inakuja

cropped-Sportpesa-Aviator-Rain-Free-Bets-Mil-jpg- jpeg

Kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons

Langoni

Djigui Diarra

Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello.

Mshambuliaji

Prince Dube

Wachezaji wa akiba

Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu.

Share this: