- Khalid Aucho anatarajiwa kuwa kazini kupambana na Rushine NBC Premier League
- Singida Black Stars vs Simba SC ni leo Machi 11,2026 Uwanja wa Airtel
- Steve Berkar abainisha mkakati wakuvuna pointi tatu ugenini
Singida Black Stars vs Simba SC ni leo Machi 11,2026. Khalid Aucho anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi. Hii ni baada ya adhabu yake kusimamishwa na uongozi kufutwa.
SOMA HII: Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League Machi 11,2026/ Live score, standings
Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu
Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kubashiri SportPesa bonyeza picha hii chini.

Singida Black Stars vs Simba SC NBC wachezaji wakuchungwa

Singida Black Stars vs Simba SC NBC Premier League kuna wachezaji wakuchungwa. Khalid Aucho anaingia kwenye orodha kutokana na uzoefu alionao. Metacha Mnata, Joseph Guede na Elvis Rupia ni miongoni mwa wachezaji hatari S.B.S.
Kwa upande wa Simba SC, Clatous Chama, Ellie Mpanzu, Yusuph Kagoma ubora wao unajulikana. Rushine ni beki mwenye uwezo wakufunga hasa mipira ya adhabu.
Maoni ya kocha wa Singida Black Stars, (S.B.S.)
David Ouma, kocha msaidizi wa Singida Black Stars amesema wapo tayari. Aliongeza kwa kubainisha kuwa malengo ni kupata ushindi.
“Tumefanya maadalizi vizuri na tupo tayari kwa mchezo. Maleng oni kuona tunapata matokeo chanya,”.
Maoni ya Steve Berkar Kocha Mkuu wa Simba SC
“Kikubwa ni kuona tunapata ushindi kwenye mchezo wetu. Tunatambua wapinzani wetu wapo imara ila tupo tayari,”.
Kikosi kinachotarajiwa kuanza kwa Singida Black Stars

Metacha Mnata
Lanso
Zambo
Chukwu
Sebo
Pipino
Keyech
Lyanga
Lamin
Aucho
Elvis Rupia
Kikosi kinachotarajiwa kuanza kwa Simba SC
Kassali
Kapombe
Kibabage
Vedastus
Toure
Naby
Bashiri
Kante
Inno
Chama
Gueye
SOMA HII: NBC Premier League wiki ya moto/ Singida Black Stars vs Simba SC/ Tanzania Prisons vs Yanga SC

Msimamo wa Singida Black Stars vs Simba SC
| POS | P | W | D | L | Pts |
| 4.Simba SC | 11 | 7 | 3 | 1 | 24 |
| 9.S.B.S | 12 | 5 | 4 | 3 | 19 |
Matokeo ya mechi zilizopita Singida Black Stars
Machi 8,2026, Singida Black Stars 3-1 Songea United, (CRDB Federation Cup)
Machi 5,2026, Singida Black Stars 0-3 Yanga SC, (NBC)
Machi 3,2026, Singida Black Stars 1-0 Coastal Union, (NBC)
Februari 26,2026, Namungo FC 1-1 Singida Black Stars, (NBC)
Februari 22,2026, Mtibwa Sugar 1-3 Singida Black Stars, (NBC)
Matokeo ya mechi zilizopita Simba SC

| KMC FC | 0 | 2 | Simba SC | Februari 11,2026, NBC |
| Simba SC | 1 | 0 | 0 Stade Malien | Februari 14,2026/CAF |
| Tanzania Prisons | 0 | 2 | Simba SC | Februari 22,2026/NBC |
| Dodoma Jiji FC | 0 | 0 | Simba SC | Februari 25,2026/NBC |
| Yanga SC | 0 | 0 | Simba SC | Machi Mosi 2026/NBC |
Hitimisho
Singida Black Stars vs Simba SC ni leo mbivu na mbichi kujulikana. Wakulima wa alizeti mchezo uliopita wa ligi walipoteza kwa kufunga 3-0 dhidi ya Yanga SC. Je leo watapoteza wakiwa nyumbani? Dakika 90 zina majibu.

