Yanga SC 1-1 Al Ahly CAFYanga SC va Al
  • FT: Yanga SC 1-1 Al Ahly CAF Champions’ League group stage January 31, 2026
  • Ibrahim Bacca afunga goli kali Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar
  • Hatua ya robo fainali yanukia kwa watoto wa Jangwani wamiliki wa kiungo fundi Pacome
  • Matokeo ya Yanga SC vs Al Ahly na takwimu zipo kwenye makala haya

 Yanga SC 1-1 Al Ahly CAF Champions League ni matokeo rasmi mchezo wa leo. Ibrahim Bacca alifunga goli lakuongoza dakika ya 45. Kipindi cha pili Al Ahly walifunga goli lakuweka mzani sawa kupitia kwa Aliou Diengo dakika ya 60.

SOMA HII: Al Ahly 2-0 Yanga SC CAF Champions League/ Stats,highlights

Je, bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

image

Yanga SC 1-1 Al Ahly CAF Champions League, Bacca mchezaji bora

 Yanga SC 1-1 Al Ahly CAF
Ibrahim Bacca nyota wa mchezo Yanga SC vs Al Ahly, CAF Champions League.Source: Yanga SC.

Wakati ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ukisoma Yanga SC 1-1 Al Ahly CAF Champions League Ibrahim Bacca ni mchezaji bora. Beki huyo alifanya kazi kubwa akifunga goli la uongozi dakika chache kabla ya mapumziko. Kazi kubwa imefanywa na Yanga SC wakishambulia kama nyuki mipango ikisukwa na kiungo mshambuliaji Pacome.

Msimamo wa kundi B

 MPWDLPTS
1. Al Ahly42208
2. Yanga SC41215
3. AS Far30212
4.Kabylie30212

Takwimu za Yanga SC vs Al Ahly

Yanga SC Al Ahly
11Mashuti4
1Kipa okoa1
53%Umiliki47%
10Faulo15
0Kadi nyekundu0
2Kadi za njano1
5Kona4
1Magoli1

SOMA HII: Yanga SC haijapoteza mechi 2025/26 NBC Premier League / Kariakoo Dabi inanukia, matokeo, rekodi

image

Kikosi cha Yanga SC vs Al Ahly

Kikosi cha Yanga SC vs Al Ahly

Mlinda mlango

Djigui Diarra

Mabeki

 Dickson Job

Boka

 Nondo

 Ibrahim Bacca

Viungo

 Damaro

 Duke Abuya

 Maxi Nzengeli

Allan Okelo

Pacome

Mshambuliaji

Depu

Wachezaji wa akiba

Aboutwalib Mshery

Israel Mwenda

Zimbwe

Assinki

Mudathir

Shekhain

Emma

Lassine

Dube

Kikosi cha Al Ahly vs Yanga SC

Pacome vs Al Ahly
Pacome kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly. Source: Yanga SC.

Mlinda mlango

M. Shobeir

Mabeki

M.Hany

Y. Ibrahim

Y. Marei

A.Koka

Viungo

M. Attia

A. Dieng

Zizo

T. Mohamed

M.Trezengeut

Mshambuliaji

M.Osman

Hitimisho

Yanga SC 1-1 Al Ahly CAF Champions League ni moja ya mchezo mkali uliozikutanisha timu bora. Watoto wa Jangwani wanazidi kukaribia malengo kutinga hatua ya robo fainali. Katika dakika 180 wamevuna pointi moja dhidi ya vigogo Al Ahly hatua ya makundi.

Share this: