Senegal AFCON ---- Robo FainaliSenegal AFCON ---- Robo Fainali
  • Timu ya Taifa ya Senegal imeandika rekodi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025).
  • Hii ni baada ya kuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya Robo Fainali ya mashindano hayo.
  • Makala hii inakuletea matokeo na Ratiba yah atua ya 16 bora na timu zipi zinatarajia kuvaana kwenye Robo Fainali.

Taifa la Senegal limeandika rekodi mpya, ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025). Hii ni baada ya kuwa timu ya kwanza, kufuzu hatua ya Robo Fainali ya mashindano hayo ya mwaka huu.Makala hii inakuletea matokeo na Ratiba ya hatua ya 16 bora, na timu zipi zinatarajia kuvaana kwenye Robo Fainali.

SOMA HII PIA: AFCON 2025: Matokeo, hawa hapa wafungaji bora kabla ya Ratiba ya 16 bora, Feisal na Msuva wamo?

Hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

image

AFCON 2025 Senegal haoo Robo Fainali

Matokeo Senegal --- Sudan
Matokeo Senegal 3-1 Sudan

Timu ya Taifa ya Senegal muda mchache uliopita imefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya AFCON 2025. Hii ni baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Sudan. Shukrani kwa mabao mawili ya Pape Gueye, ambayo yalitoa mchango mkubwa katika mchezo huo.

Senegal sasa anasubiri mshindi wa mchezo wa Mali vs Tunisia kuona nani atakuwa mpinzani wake wa Robo Fainali. Ikumbukwe mchezo huo wa Mali vs Tunisia unapigwa usiku huu. Timu hizo zote mbili zinaingia katika mchezo huu zikiwa zimetoka kupata matokeo ya sare, kwenye mechi zao za mwisho hatua ya makundi.

SOMA HII ZAIDI: AFCON 2025 matokeo na ratiba hii hapa/ Msimamo, live scores

Ratiba kamili ya mechi zilizobaki za hatua ya 16 bora AFCON 2025 ni kama ifuatavyo;

Ratiba ya mechi za -- bora
Ratiba ya mechi za 16 bora

Jumamosi, Januari 3, 2026

Mali vs Tunisia saa

Jumapili, Januari 4, 2026

Morocco vs Tanzania

Afrika Kusini vs Cameroon

Jumatatu, Januari 5, 2026

Misri vs Benin

Nigeria vs Msumbiji

Jumanne, Januari 6, 2026

Algeria vs Dr Congo

Ivory Coast vs Burkina Faso

Nani na nani kukutana Robo Fainali AFCON 2025

AFCON 2025
Ratiba ya mechi kuelekea Fainali AFCON ----

Ratiba ya mechi kuelekea Fainali AFCON 2025

Wakati mashabiki wakisubiri kwa hamu timu zitakazofuzu Robo Fainali, swali ni timu zipi zitakutana katika hatua hiyo? Hapo juu ni maelezo kwa picha ya timu zipi zitakutana katika vita ya kuisaka Fainali ya mwaka huu.

SOMA HII PIA: AFCON 2025: Matokeo na Ratiba, hizi hapa timu zilizofuzu hatua ya mtoano (16 bora)

Hitimisho

Mashindano ya AFCON 2025 yamekuwa na msisimko mkubwa. Punde baada ya kuanza yameshafika hatua ya 16 bora, hapa kila timu inabidi kupambana kusaka tiketi ya Robo Fainali. Wengi wanapima uzito wa bingwa mtetezi Ivory Coast kuona je, ataweza kutetea ubingwa wake?

Share this:

By Joel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.