Mashujaa FC yaibana Azam FCMashujaa FC vs Azam FC
  • Mashujaa FC 0-0 Azam FC, mchezo umekamilika bila goli kufungwa kwa timu zote mbili
  • Mashujaa FC yaibana Azam FC ikiwa nyumbani, Uwanja wa Lake Tanganika, Kigoma
  • Feisal Salum alikuwa kwenye ulinzi mkali wa wanajeshi wa mpakani ili asilete hatari

Mashujaa FC yaibana Azam FC NBC Premier League, Uwanja wa Lake Tanganyika. Miamba hawa wawili wametoshana nguvu kwa dakika 90 kukamilika bila kufungana. Mwisho matoke oni Mashujaa FC 0-0 Azam FC ilikuwa hivyo wakati wa mapumziko pia.

SOMA HII: Mashujaa FC 0-0 Azam FC NBC Premier League

Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Aviator

Mashujaa FC yaibana Azam FC NBC Premier League

Mashujaa FC yaibana Azam FC
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum Mashujaa FC. Source: Azam FC.

Mashujaa FC yaibana Azam FC NBC Premier League kwa kujilinda mbele ya matajiri hao wenye safu kali ya ushambuliaji. Azam FC inayonolewa na Frolent Ibege imefunga jumla ya magoli 21 ilikuwa inapambana na Mashujaa FC yenye magoli 9.

Rekodi za Mashujaa FC 0-0 Azam FC

Mashujaa FC Azam FC
5Mashuti7
2Lenga lango1
43%Umiliki57%
3Mashuti yasiyolenga lango6
0Kadi nyekundu0
4Kadi ya njano3
3Kona4
0Magoli0

Msimamo wa Mashujaa FC vs Azam FC

Mashujaa FC 0-0 Azam FC
Lusajo Mwaikenda nahodha wa Azam FC vs Salum Kihimbwa wa Mashujaa FC. Source: Azam FC
POSMPWDLPTS
2. Azam FC1578029
11. Mashujaa FC1747619

Hitimisho

Mashujaa FC yaibana Azam FC NBC Premier League kwa kupata pointi moja wakiwa nyumbani. Matajiri wa Dar, wanafikisha idadi ya mechi 15 bila kufungwa. Mashujaa FC baada ya mechi 17 wamepoteza 6.

Share this: