TRA United vs Yanga SC NBCNdayiragije
  • Kocha Mkuu wa TRA United, Ettiene Ndayiragije amebainisha utayari wa kikosi kuwakabili wapinzani
  • TRA United vs Yanga SC NBC Premier League Machi 18/2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
  • Pedro Goncalves Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema watakuwa na mchezo mkubwa

TRA United vs Yanga SC NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba. Machi 18 2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Wakusanya mapato mchezo wao dhidi ya Simba SC uliahirishwa kutokana na uwanja kujaa maji. Azam FC 0-0 Yanga SC matokeo yaliyopita kwa mpinzani wake.

SOMA HII: NBC Premier League ratiba na CAF Champions League robo fainali

Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Aviator

TRA United vs Yanga SC rekodi itavunjwa?

TRA United vs Yanga SC NBC
Nyota wa TRA United katika mazoezi.

Kuelekea mchezo wa TRA United vs Yanga SC swali kubwa ni rekodi inayoendelezwa na wageni itavunjwa. Wananchi kwenye ligi wamecheza mechi 14 bila kupoteza. Wamekutana na vigogo wote Yanga SC 0-0 Simba SC na walitoshana nguvu na matajiri wa Dar.

Maoni ya Ettiene Ndayiragije

Kocha Mkuu wa TRA United, Ndayiragije amesema anatambua ugumu wa mchezo. Aliongeza yote yanatokana na ubora wa mpinzani.

“Tunakutana na mpinzani mgumu hilo tunalitambua. Kwa maana hiyo ugumu utakuwa mkubwa, tumefanya maandalizi mazuri kwa ajili ya mchezo wetu,”.

Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC

Pedro G (-)
Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

“Tumekuwa na ratiba yenye msongamano mkubwa wa michezo ya mfululizo na ukizingatia tumetoka katika mchezo mgumu wa ligi siku chache zilizopita, sasa tunajiandaa kuikabili timu ambayo imepata muda wa kutosha wa mapumziko na maandalizi,”.

SOMA HII: Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni moto/ Mechi 5 NBC Premier League ugenini/ Msimamo, matokeo

Aviator

Msimamo TRA United vs Yanga SC

POSMPWDLPTS
1. Yanga SC14113036
10. TRA United1454519

H2H TRA United vs Yanga SC

02/04/2025 TRA United 0-3 Yanga SC
07/11/2024 Yanga SC 1-3 TRA United
01/05/2024 Yanga SC 3-0 TRA United
23/12/2023 TRA United 0-1 Yanga SC

Kikosi cha TRA United kinachotarajiwa kuanza vs Yanga SC

 Jean Noel atakuwa langoni.

Wachezaji wengine ni Nasry Kombo, Valentin Nouma, Amy Mapaka, Christopher Tebandeke, Ramadhan Ramadhan, John Lazarus, Chande Chewe, Omary Yusuph, Jamalia Dulaz na Denis Nkane.

Kikosi cha Yanga SC kinachotarajiwa kuanza

Diara
Diara Djigui, mlinda mlango wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Langoni

Djigui Diarra

Mabeki

Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Yao. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello.

Mshambuliaji

Prince Dube.

SOMA HII: Taarifa mpya Depu na Boka wa Yanga SC haifurahishi/ Orodha ya wachezaji majeruhi

Aviator

Hitimisho

TRA United vs Yanga SC NBC Premier ni mchezo mkali unaosubiriwa kwa shauku. Nani ataibuka mshindi Uwanja wa Sheikh Amri Abeid? Dakika 90 zitaamua yote.

Share this: