Azam FC 0-0 Yanga SCMaxi vs Azam FC
  • Pedro Goncalves Kocha Mkuu wa Yanga SC afichua kuhusu uchovu wa wachezaji
  • Azam FC 0-0 Yanga SC Dar Derby, Uwanja wa Mkapa
  • Feisal Salum man of the match baada ya dakika 90
  • Rekodi ya timu ambazo hazijafungwa NBC Premier League inazidi kudunda

Azam FC 0-0 Yanga SC matokeo rasmi NBC Premier League. Dar Derby imekamilika Machi 15 2026 Uwanja wa Mkapa kwa wababe kugawana pointi mojamoja. Feisal Salum alichaguliwa kuwa man of the match.

SOMA HII: Azam FC vs Yanga SC: Azam yawabadilishia Uwanja Wananchi, Ratiba matokeo Ligi Kuu ya NBC

Je, bado hujashinda mamilioni? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune pesa sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Aviator

Azam FC 0-0 Yanga SC hakuna mbabe

Azam FC 0-0 Yanga SC
Fei akikabidhiwa tuzo ya Man of the match. Source: Azam FC.

Baada ya ubao kusoma Azam FC 0-0 Yanga SC NBC Premier League hakuna mbabe kwa wawili hawa.Rekodi zao zinadunda kuwa timu pekee ambazo hazijapoteza. Matajiri wa Dar wamecheza mechi  14 sawa na wananchi.

Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC amebainisha kuwa wachezaji wa timu hiyo wanakumbwa na uchovu kutokana na ratiba waliyonayo. Kwa upande wa Florent Ibenge, Kocha Mkuu wa Azam FC amewapongeza wachezaji kwa kupambana licha ya kukosa ushindi.

SOMA HII: Taarifa mpya Tanzania Prisons vs Yanga SC/ Vikosi kazi Machi 12,2026

Aviator

Azam FC 0-0 Yanga SC rekodi

Azam FC Yanga SC
6Mashuti4
1Lenga lango1
5%Umiliki50%
5Mashuti yasiyolenga lango3
0Kadi nyekundu0
3Kadi ya njano2
5Kona3
0Magoli0

Msimamo Azam FC vs Yanga SC

POSMPWDLPTS
1. Yanga SC14113036
2. Azam FC1477028

Kikosi cha Azam FC vs Yanga SC

Langoni ni Aishi Manula

Lusajo Mwaikenda

Yoro Diaby

Fuentes

Feisal Salum

Idd Seleman

James Akamiko

Zidane Sereri

Pascal Msindo

Himid Mao

Asharafu Kibeku

Wachezaji wa akiba

Abah Abel, Lameck Lawi,Nathaniel Chilambo, Diakite, Jean Ngita, Twalibu, Sadio Kanoute, Zuber Foba, Kitambala na Charles.

Kikosi cha Yanga SC vs Azam FC

Duke vs Azam FC
Duke vs Azam FC

Langoni

Djigui Diarra

Mabeki

Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Abuya, Maxi, Mudathir na Okello.

Washambuliaji  ni Prince Dube na Depu

Wachezaji wa akiba

 Aboutwalib Mshery, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Emmanuel, Bupa, Damaro na Pacome.

SOMA HII: Yanga SC bingwa NMB Mapinduzi Cup 2026 kwa penati 5-4 Azam FC/ Highligts, stats

Aviator

Hitimisho

Azam FC 0-0 Yanga SC mwisho wa ubishi mchezo wa mzunguko wa kwanza. NBC Premier League inazidi kushika kasi kutokana na ushindani uliopo. Rekodi zinaonyesha Azam FC na Yanga SC 2025/26 hazijaonja joto yakupoteza mechi kwenye ligi.

Share this: