- Hii hapa ratiba ya mechi za Yanga SC kabla ya mchezo wa Kariakoo Dabi
- Yanga SC vs Simba SC joto linazidi kupanda, Machi Mosi 2026 ni siku ya mchezo wenyewe
- Mabingwa watetezi Yanga SC vs Cosmopolitan FC, CRDB Federation Cup hatua ya 64
Yanga SC vs Simba SC joto linazidi kupanda kwa watani wa jadi. Machi Mosi 2026 wababe hawa wanatarajiwa kukutana Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Kabla hawajakutana kesho ni Yanga SC vs Cosmopolitan FC mchezo wa CRDB Federation Cup.
Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa hivi
Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Bashiri na SportPesa uvune mkwanja sasa hivi.
SOMA HII: Dabi ya Kariakoo Yanga SC vs Simba SC ni Machi Mosi 2026/ NBC Premier League ratiba

Yanga SC vs Simba SC joto linazidi kupanda ratiba ipoje?

Yanga SC vs Simba SC joto linazidi kupanda kutokana na siku kutoganda. Kabla ya watoto haw awa Kariakoo kusaka pointi tatu kwenye ligi kuna mechi zinawakabili. Mabingwa watetezi wa CRDB Federadion Cup, Yanga SC kesho watakuwa kibaruani kuanza mbio kutetea taji hilo.
Ni mchezo wa hatua ya 64 bora Uwanja wa KMC Complex. Mshindi wa mchezo anapewa nafasi kusonga mbele hatua ya 32 bora. Atakayepoteza safari itakuwa imeishia hapo.
SOMA HII: Yanga SC 1-0 Simba SC: Highlights, magoli yote, h2h – Ngao ya jamii 2025

Yanga SC vs Simba SC msimamo NBC Premier League
| MP | W | D | L | PTS | |
| 3. Yanga SC | 8 | 7 | 1 | 0 | 22 |
| 7. Simba SC | 8 | 6 | 1 | 1 | 19 |
Hii hapa ratiba kamili ya Yanga SC kabla ya mechi ya Dabi

| 18/02/2026 | Yanga SC | vs | Cosmopolitan FC/ Uwanja wa KMC Complex |
| 22/02/2026 | Namungo FC | vs | Yanga SC/ Uwanja wa Majaliwa |
| 25/02/2026 | Yanga SC | vs | JKT Tanzania/ Uwanja wa KMC Complex |
| 01/03/2026 | Yanga SC | vs | Simba SC/ Uwanja wa New Amaan Complex |
| 05/03/2026 | Singida B.Stars | vs | Yanga SC |

Hitimisho
Yanga SC vs Simba SC joto taratibu linazidi kuwa kali kwa wababe hawa. Timu zote mbili zimeishia hatua ya makundi CAF Champions League. Wananchi walikuwa kundi B na mnyama alikuwa kundi D.

