Matokeo ya Simba SC CAFKapombe na Gueye
  • Petro de Luanda vs Simba SC mchezo ujao hatua ya makundi ugenini
  • Matokeo ya Simba SC CAF Champions League 2025/26 hakuna ushindi
  • Barker kwenye mtihani mzito kimataifa nyumbani na ugenini

Matokeo ya Simba SC CAF Champions Leagues mechi 4 hatua ya makundi hakuna ushindi. Safu ya ushambuliaji imefunga magoli 3, ukuta umeruhusu magoli 6. Kutokana na mwendo huo nafasi yakutinga hatua ya robo fainali ni finyu kwa mnyama labda maajabu ya mpira yaamue. Ni timu mbili zinazomaliza nafasi ya juu husonga mbele kwenye mashindano.

SOMA HII: Simba SC 0-1 Petro de Luanda CAF Champions League 2025/26/ Highlights, stats, match report

Unasubiri nini? Vuna mamilioni sasa hivi

Kuna jambo umekwama kwa sasa kuhusu mkwanja? Usiogope, rubani ni jasiri na kazi yake ni kupaisha kindege cha SportPesa. Cheza sasa hivi Aviator uvune mamilioni bofya hapa chini, muda ni wako na nafasi ya ushindi inakusubiri.

image

Haya hapa matokeo ya Simba SC CAF Champions League

Matokeo ya Simba SC CAF
Nahodha wa Simba SC, Shomari Kapombe kwenye mchezo wa kimataifa. Source: Simba SC.
23/11/2025Simba SC01Petro de Luanda
30/11/2025  Stade de Malien21Simba SC
24/01/2026  Es Tunis10Simba SC
01/02/2026  Simba SC22Esperance de Tunis

Msimamo wa kundi D

 MPWDLPTS
1. Stade Malien42208
2. Esperance de Tunis41306
3. Petro de Luanda41215
4.Simba SC40131

SOMA HII: Mechi za Simba SC 2025/26 CAF Champions League, NBC Premier League ni moto| Matokeo na wafungaji

image

Mechi zijazo kwa Simba SC CAF Champions League

Dibrilla
Simba SC vs de Tunis, CAF Champions League. Source: Simba SC.

Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker mnyama ana mechi mbili mkononi. Kocha huyo ambaye ni mrithi wa mikoba ya Dimitar Pantev mchezo mmoja atakiongoza kikosi ugenini na mmoja Uwanja wa Mkapa. Katika mechi mbili hatua ya makundi nyumbani, mnyama alipoteza mchezo mmoja na kulazimishwa sare moja.

7/2/2026Petro de LuandavsSimba SC
13/02/2026  Simba SCvsStade de Malien

Hitimisho

Matokeo ya Simba SC CAF Champions League yanaifanya timu hiyo kuburuza mkia kwenye kundi. Baada ya mechi nne ni pointi moja pekee imevuna. Mkononi kuna mechi mbili kwa mnyama, ugenini moja na nyumbani moja.

Share this: