Tanzania vs TunisiaTanzania vs Tunisia
  • Hatima ya mwisho kwa Tanzania katika mashindano ya AFCON 2025 itajulikana rasmi Jumanne hii.
  • Ni matokeo ya mchezo wa AFCON 2025 Tanzania vs Tunisia.
  • Mchezo huu utapigwa kwenye Uwanja wa Olympique Annexe Complexe Sportif Prince Abdellah.
  • Timu yoyote itakayoshinda itajiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele, huku kipigo kikimaanisha kuaga mashindano.

Hatima ya Tanzania katika mashindano ya AFCON 2025 itajulikana rasmi Jumanne hii. Ni katika mchezo wa AFCON 2025 Tanzania vs Tunisia. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Olympique Annexe Complexe Sportif Prince Abdellah. Timu itakayoshinda itajiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele, huku kipigo kikimaanisha kuaga mashindano.

SOMA HII PIA: AFCON 2025 matokeo na ratiba hii hapa/ Msimamo, live scores

Bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

image

H2H, AFCON 2025 Tanzania vs Tunisia

Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025

Rekodi inaonyesha timu hizi mbili katika siku za karibuni, Tanzania na Tunisia zimekutana mara 2 katika mashindano mbalimbali. Tunisia wamekuwa na rekodi nzuri zaidi wakishinda mechi 1. Tanzania haijashinda mchezo wowote na mchezo mmoja umeisha kwa sare.

Mechi 5 zilizopita za Tanzania

AFCON 2025 Uganda 1-1 Tanzania
Msuva tuzo

30/12/25 Tanzania vs Tunisia

27/12/25 Uganda 1-1 Tanzania

23/12/25 Nigeria 2-1 Tanzania

15/11/25 Kuwait 4-3 Tanzania

SOMA HII ZAIDI: AFCON 2025 Mahrez, Jackson, Achouri watikisa: Hawa hapa wafungaji bora wa Raundi ya 1

Vikosi tarajiwa Tanzania vs Tunisia

Tunisia

Ashouri
Ashouri

Kipa: A. Dahmen

Walinzi: Y. Valery, D. Bronn, M. Talbi, A. Abdi

Viungo: E. Skhiri, F. Sassi, H. Mejbri, S. Tounekti

Washambuliaji: E. Achouri, H. Mastouri

Tanzania

Kipa: Foba

Walinzi: Kapombe, Mwamnyeto, Hamad, Hussein

Viungo: Mirishi, Msanga, Msuva, M’Mbobwa, Allarkhia

Mshambuliaji: Samatta

Habari za timu  

AFCON 2025 Tanzania vs Tunisia
Matokeo ya mechi zilizopita ya Uganda

Tunisia walianza vizuri kwa ushindi dhidi ya Uganda, lakini wakajikuta wakipoteza katika mchezo wao wa pili mbele ya Nigeria kwa mabao 3-2. Hii itawafanya kuwa na hamu ya kuibuka na ushindi mbele ya Tanzania. Tunisia wana kazi kubwa kufanikisha hilo, kwani Tanzania imesaliwa na tumaini la matokeo ya ushindi tu, ili kusalia mashindanoni.

Kwa Tanzania hali ni mbaya zaidi kwani katika siku za hivi karibuni, hawajapata ushindi wowote ndani ya michezo 9 mfululizo. Wamepoteza michezo 6 na kutoa sare mechi 3 na mechi za michuano yote (D3, L6), huku mechi zao tano mfululizo zilizopita wakipata vipigo mara nne na sare 1.

Kupoteza kwao mele ya Nigeria Jumanne iliyopita na sare dhidi ya Uganda, kumefanya waandikishe mechi 11 bila ushindi kwenye mashindano ya AFCON wamefungwa mara 7 na kutoa sare 4.

SOMA HII PIA: Afcon 2025: Hawa hapa wachezaji 10 wanaolipwa pesa nyingi

Taarifa za majeraha

Kuhusu majeraha, Uganda hawajaripoti mchezaji yoyote kabla ya mechi yao ya Jumamosi. Kwa Tanzania, Yakoub Suleiman ambaye alikosa mechi ya kwanza, huenda akarejea kikosini. Wakati ambao Feisal tayari amerejea kikosini.

Hitimisho

AFCON 2025 Tanzania vs Tunisia ni zaidi ya mechi, ni vita ya heshima juu ya nani atabaki kwenye mashindano na nani safari inamhusu. Unatarajia kuwa mchezo mgumu, hasa kwa kuwa atakayeruhusu kupoteza ataaga mashindano. Hivyo kila timu itapambana kutopoteza mchezo. Kwa kuangalia fomu yao katika siku za karibuni utabiri wa mchezo huu huenda ukaisha kwa ushindi wa Tunisia.

Share this:

By Joel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.