ManeMane
  • Karne ya 21 imeshuhudia wimbi kubwa la vipaji vya soka kutoka Afrika, kutoboa na kufanya vizuri nje ya Afrika.
  • Wengi wao wakienda huko huenda kwa sababu za maendeleo ya kiuchumi na kutimiza ndoto.
  • Ligi za Ulaya na Mashariki ya kati zimekuwa zikilipa mastaa wao fedha nyingi.
  • Makala hii inakuletea orodha ya wachezaji 15 wa Afrika, wanaolipwa fedha nyingi zaidi kati ya wale wanaoshiriki AFCON 2025.

Kuanza kwa karne ya 21 kumeshuhudia wimbi kubwa la vipaji vya soka kutoka Afrika, kutoboa na kufanya vizuri nje ya Afrika. Wengi wao wakienda huko huenda kwa sababu za maendeleo ya kiuchumi na kutimiza ndoto. Ligi za Ulaya na Mashariki ya kati zimekuwa zikilipa mastaa wao fedha nyingi. Makala hii inakuletea orodha ya wachezaji 15 wanaolipwa fedha nyingi zaidi kati ya wale wanaoshiriki AFCON 2025.

SOMA HII PIA: Nigeria vs Tanzania AFCON 2025 – Live Score, H2H, lineups, utabiri, habari za timu

Orodha ya mastaa 10 wa AFCON 2025 wanaolipwa fedha nyingi Afrika

10. Yassine Bounou (Morocco, Al-Hilal) £158,515 = 530m kwa wiki

Bono
Bono

9. Edouard Mendy (Senegal, Al-Ahli) £203,808 = 681m kwa wiki

Mendy
Mendy

8. Achraf Hakimi (Morocco, PSG) £231,662 = 775m kwa wiki

Hakimi ( )
Hakimi ( )

7. Franck Kessie (Ivory Coast, Al-Ahli) £273,442 = 914m kwa wiki

Kessie
Kessie

6. Omar Marmoush (Egypt, Man City) £295,000 = 987m kwa wiki

Marmoush
Marmoush

5. Victor Osimhen (Nigeria, Galatasaray) £318,450 = 1.06 B kwa wiki

Osimhen (-)
Osimhen (-)

4. Mohamed Salah (Misri, Liverpool) £400,000 = 1.3 B

Mo Salah
Mo Salah

3. Kalidou Koulibaly (Senegal, Al-Hilal) £550,047 = 1.8 B

Koulibally
Koulibally

2. Sadio Mane (Senegal, Al-Nassr) £634,060 = 2.1 B

Mane
Mane
  1. Riyad Mahrez (Algeria, Al Ahli) £827,448 = 2.7 B
AFCON 2025
Mahrez
Share this:

By Joel Thomas

Joel Thomas is a Tanzanian sports writer with a BSc (Education) from Mwenge Catholic University. He spent 4 years at Global Publishers and is in his second year with SportPesa, covering football and betting education for local fans. Anapenda soka na anaandika kwa uwajibikaji.