- Anicent Oura dakika ya 33 anafunga goli la kuongoza kwa mnyama ugenini
- Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC NBC Premier League
- James Mwashinga anafunga goli la usawa kwa wenyeji dakika ya 36
Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC dakika 45 za mwanzo Uwanja wa CCM Kirumba. Anicent Oura alifunga goli la kuongoza dakika ya 33. Dakika 3 mbele Pamba Jiji FC walisawazisha kupitia kwa James Mwashinga dakika ya 36.
SOMA HII: Simba SC yajivunia ubora wa kikosi 2025/26/ Fixture, Standings

HT: Rekodi za Pamba Jiji FC 1-1 Simba SC SC

| Pamba Jiji FC | Simba SC | |
| 3 | Mashuti | 3 |
| 3 | Lenga lango | 2 |
| 47% | Umiliki | 53% |
| 0 | Mashuti yasiyolenga lango | 1 |
| 0 | Kadi nyekundu | 0 |
| 0 | Kadi ya njano | 0 |
| 0 | Kona | 0 |
| 1 | Magoli | 1 |
Msimamo wa Pamba Jiji FC vs Simba SC
| POS | MP | W | D | L | PTS |
| 3.Simba SC | 13 | 8 | 4 | 1 | 28 |
| 5.Pamba Jiji FC | 16 | 6 | 7 | 3 | 25 |
Kikosi cha Pamba Jiji FC vs Simba SC
Langoni ni Yona Amosi.
Wachezaji wengine ni Abdulmajid Mangalo, Ibrahim Abrahim, Mathew Tegisi, Peter Lwasa, Keneth Kunambi, Sharpahn Sawa, Zabona Mayombya, James Mwashinga, Hussen Kibailo na Michael Samamba.
Wachezaji wa akiba
Brian, Nahimana, Amosi Kadikilo, Abdoulaye Camara, Abdallah Khamis, Denis Richard, John Ben, Henry Msabila.
Kikosi cha Simba SC vs Pamba Jiji FC
Langoni
Mahamadou Kassali.
Mabeki
Shomari Kapombe, De Reuck, Nickson Kibabage na Ismael Toure.
Viungo
Libasse Gueye, Ellie Mpanzu, Alasane Kante, Yusuph Kagoma na Clatous Chama
Mshambuliaji
Anicent Oura.
Wachezaji wa akiba
Bashiri Salum, Anthony Mligo, Vedastus Masinde, Duchu, Hussen Abel, Naby Camara, Neo Maema, Hussen Mbegu,Semfuko na Morice.
SOMA HII: Ratiba ya Simba SC 2025/26 Machi dakika 450 za kazi/ Msimamo, matokeo


