Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBCDepuu

Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC Premier League matokeo rasmi Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Depu amefunga goli la ushindi dakika ya 79. Huu ni mchezo wa 11 vinara wa ligi kushinda. Kituo kinachofuata ni Azam FC vs Yanga SC, Machi 15,2026, Uwanja wa Mkapa.

SOMA HII: Ratiba ya Yanga SC 2025/26 ni moto/ Mechi 5 NBC Premier League ugenini/ Msimamo, matokeo

Je, bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

Aviator

Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC Premier League takwimu

Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC
Zimbwe Jr vs Prisons. Source: Yanga SC.

Tanzania Prisons 0-1 Yanga SC NBC Premier League 2025/26. Wenyeji wamekomba dakika 90 bila kupiga shuti ambalo limelega lango. Ni kadi 3 za njano walionyeshwa Prisons.

Jeremia Juma dakika ya 45, George Mpole dakika ya 50 na Kelvin dakika ya 78 walionywa kwa kadi ya njano. Depu aliingia kipindi cha pili dakika ya 61 akichukua nafasi ya Damaro. Wananchi wanaondoka ugenini na pointi tatu muhimu.

Tanzania Prisons Yanga SC
0Mashuti7
0Lenga lango2
31%Umiliki69%
0Mashuti yasiyolenga lango5
0Kadi nyekundu0
3Kadi ya njano0
0Kona7
0Magoli1

Msimamo Tanzania Prisons vs Yanga SC

POSMPWDLPTS
1. Yanga SC13112035
15. Tanzania Prisons1634913

Kikosi cha Tanzania Prisons vs Yanga SC

Langoni ni Mussa Mbissa

Lambart Sabiyanka

Doto Shaban

Jeremia Juma

Marco Mhilu

Michael Mutinda

Wema Sadoki

Salum Kimenya

Maurince Owino

George Mpole

Haruni Chanongo

Wachezaji wa akiba

Emmanuel Martin, Never Kaboma,Kelvin Sagati, Heritier, Masoud Abdalah, Ramadhan Mwenda, Edward Mwakyusa, Samson Mbangula, Oscar Mwajanga na Idd Lugendo.

SOMA HII: NBC Premier League wiki ya moto/ Singida Black Stars vs Simba SC/ Tanzania Prisons vs Yanga SC

Aviator

Kikosi cha Yanga SC vs Tanzania Prisons

Tanzania Prisons 0-0 Yanga SC
Tanzania Prisons vs Yanga SC, NBC Premier League. Source: Yanga SC.

Langoni

Djigui Diarra

Mabeki: Israel Mwenda, Zimbwe Jr, Nondo, Bacca. Viungo ni Damaro, Abuya, Maxi, Mudathir na Okello.

Mshambuliaji ni Prince Dube.

Wachezaji wa akiba

Masalanga, Abubakari, Assink, Andabwile, Yao, Abdulnasir, Shekhan, Edmund, Bupa, Depu.

Share this: