AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratibaMohamed
  • Africa Cup of Nations group stages 2025/2026, Morocco
  • AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratiba ipo namna hii
  • Morocco vs Mali wagawana pointi, Misri yatinga 16 bora kwa goli la Mo Salah

Kazi inaendelea AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratiba zipo wazi. Mo Salah alikiongoza kikosi cha Misri kutinga hatua ya 16 bora. Ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Afrika Kusini umewapa tiketi Misri kufungua ukurasa unaofuata. Desemba 27 Uganda vs Tanzania ni mchezo unaotarajiwa kuwa kwenye ratiba.

SOMA HII: AFCON 2025 Morocco 1-1 Mali/ Highlights, goal, standings

Bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa

Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

image

AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratiba ipo hivi

AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratiba
Diazz nyota wa timu ya taifa ya Morocco.Source: CAF

Hakuna kulala AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratiba zinazidi kupasua anga. Ikumbukwe kwamba ni timu 24 zinasaka tiketi ya kutinga 16 bora. Wenyeji Morocco waligawaa pointi na Mali katika mchezo wa pili wakiwa kundi A.

Matokeo Ijumaa, Desemba 26,2025

Zambia 0-0 Comoros
Morocco 1-1 Mali
Angola 1-1 Zimbabwe
Misri 1-0 Afrika Kusini

Jumapili, Desemba 21, 2025

Morocco 2-0 Comoros

Jumatatu, Desemba 22,2025

Mali 1-1 Zambia
Afrika Kusini 2-1 Angola
Misri 2-1 Zimbabwe

Jumanne, Desemba 23, 2025

Nigeria 2-1 Tanzania AFCON 2025
Mbwana Stars vs Nigeria mchezo wa kwanza kundi C AFCON. Source: Taifa Stars.

Congo Dr 1-0 Benin
Senegal 3-0 Botswana

Nigeria 2-1 Tanzania
Tunisia 3-1 Uganda

SOMA HII: AFCON 2025 matokeo na ratiba hii hapa/ Msimamo, live scores

image

Desemba 24,2025, Jumatano

Burkina Faso 2-1 Equatorial Guinea

Algeria 3-0 Sudan
Ivory Coast 1-0 Msumbiji
Cameroon 1-0 Gabon

Msimamo

Kundi A

 MPWDLPTS
1.Morocco21104
2. Mali20202
3. Zambia20202
4.Comoros20111

Kundi B

 MPWDLPTS
1.Misri22006
2. A.Kusini21013
3.Zimbabwe20111
4.Angola20111

Kundi C

 MPWDLPTS
1. Tunisia11003
2.  Nigeria11003
3.Tanzania10010
4.Uganda10010

Kundi D

 MPWDLPTS
1. Senegal11003
2.Dr.Congo11003
3.Benin10010
4.Botswana10010

Kundi E

 MPWDLPTS
1. Algeria11003
2.B. Faso11003
3.Eq.Guinea10010
4.Sudan10010

Kundi F

 MPWDLPTS
1.Cameroon11003
2.I.Coast11003
3.Gabon10010
4.Mozambique10010

Ratiba ya AFCON 2025

Mane
Mane na wachezaji wenzake wa Senegal katika AFCON 2025.

Jumamosi, Desemba 27,2025
Benin vs Botswana, saa 9:30 alasiri
Senegal vs Congo Dr, saa 12:00 jioni
Uganda vs Tanzania, saa 2:30 usiku
Nigeria vs Tunisia, saa 5:00 usiku.

Jumapili, Desemba 28, 2025
Gabon vs Msumbiji, saa 9:30 alasiri
Equatorial Guinea vs Sudan, saa 12:00 usiku
Algeria vs Burkina Faso, saa 2:30 usiku
Ivory Coast vs Cameroon, saa 5:00 usiku.

Desemba 29, Jumatatu
Angola vs Misri
Zimbabwe vs Afrika Kusini
Comoros vs Mali
Zambia vs Morocco

Jumanne, Desemba 30

Tanzania vs Tunisia
Uganda vs Nigeria
Benin vs Senegal
Botswana vs DR Congo

Jumatano, Desemba 31
Equatorial Guinea vs Algeria
Sudan vs Burkina Faso
Gabon vs Ivory Coast
Msumbiji vs Cameroon

SOMA HII: AFCON 2025 Misri 1-0 Afrika Kusini hatua ya makundi/ Highlights, standings

image

Hitimisho

AFCON 2025 hatua ya makundi matokeo na ratiba zinaendelea kuchanja mbunga nchini Morocco. Timu ya kwanza kukata tiketi raundi ya 16 ni Misri kwa ushindi dhidi ya Afrika Kusini. Kila timu inaonyesha ushindani kwenye mechi jambo linaloongeza mvuto.

Share this: