JS Kabylie vs Yanga SC CAF Champions League leo Novemba 28,2025Pedro na Pacome
  • Nyota 7 wa Yanga SC kuukosa mchezo ugenini hatua ya makundi yupo Clement Mzize na Sure Boy
  • Yanga inapanga kuwachafua JS Kabylie kwenye CAF Champions League mnamo Novemba 28, 2025.
  • Live score na utabiri wa mchezo huo mkali upo kwenye makala haya

Je watatoboa wanajangwani? Yanga inapanga kuwachafua JS Kabylie kwenye CAF Champions League mnamo Novemba 28, 2025. JSaa 1:00 usiku mchezo wa pili hatua ya makundi kwa kundi B. Wababe hawa watakuwa Uwanja wa Hocine Ait Ahmed. Wageni Yanga SC watawakosa wachezaji muhimu ikiwemo Clement Mzize ambaye ni mshambuliaji.

SOMA HII: Ratiba ya Yanga SC 2025/26 NBC Premier League, CAF Champions League/ Live scores

Muda wa kuvuna mamilioni sasa hivi

Kuna jambo umekwama kwa sasa kuhusu mkwanja? Usiogope, rubani ni jasiri na kazi yake ni kupaisha kindege cha SportPesa. Cheza sasa hivi Aviator uvune mamilioni bofya hapa chini, muda ni wako na nafasi ya ushindi inakusubiri.

image

Yanga inapanga kuwachafua JS Kabylie kwenye CAF Champions League mnamo Novemba 28, 2025, wataweza?

JS Kabylie vs Yanga SC CAF Champions League leo Novemba 28,2025
Pedro Kocha Mkuu wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Kuna orodha ya nyota watakosekana mchezo wa JS Kabylie vs Yanga SC CAF Champions League leo Novemba 28,2025. Wageni Yanga SC watakuwa na orodha ya wachezaji 7 ambao hawapo kwenye mpango. Hiyo inatokana na sababu mbalimbali.  Kibwana Shomari, Dennis Nkane, Sure Boy, Abdulnasir maarufu kama Casemiro, Clement Mzize huyu ni mshambuliaji.

 Farid Mussa, Nizar Othman Abubakar wanatarajiwa kukosekana kwenye mchezo. Mzize yeye amefanyiwa upasuaji wa goti jambo linalomuweka nje. Wengine ni sababu za kifundi.
SOMA HII PIA: Yanga SC vs AS FAR CAF 22/11/2025: Live Score, H2H, vikosi, takwimu, Habari za timu

image

H2H

JS Kabylie vs Yanga SC, Novemba 28,2025.

Yanga SC vs JS Kabylie, Februari 13,2026.

JS Kabylie vs Yanga SC nyumbani na ugenini rekodi

ratiba ya mechi za CAF Champions League 2025/26 Source: https://blog.sportpesa.co.tz/2025/11/24/ratiba-ya-mechi-za-caf-champions-league-2025-26
Pacome nyota wa Yanga SC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Source: Yanga SC.
JS Kabylie Yanga SC
8Mechi za nyumbani 
7Ushindi nyumbani 
 Mechi za ugenini3
 Ushindi1
 Sare1
 Poteza1
 Kadi nyekundu0

SOMA HII: Romain Folz amefukuzwa Yanga SC mrithi mikoba yake huyu hapa

Matokeo ya mechi za CAF Champions League hatua ya makundi

JS Kabylie Yanga SC
1Mechi1
0Ushindi1
1Magoli yakufunga1
4Magoli yakufungwa0
0Pointi3

Msimamo wa kundi B

TimuMechiPointiShinda
1. Al Ahly131
2.Yanga SC131
3. AS Far Rabat100
4. JS Kabylie100

Matokeo ya mechi 5 zilizopita kwa JS Kabylie

MechiTarehe ya mchezoAina ya mashindanoMatokeo
Al Ahly 4-1 JS Kabylie22/11/2025CAF Champions LeaguePoteza
CS Constantine 1-0 JS Kabylie09/11/2025Ligue 1Poteza
JS Kabylie 4-1 Mc El Bayadh03/11/2025Ligue 1Ushindi
JS Kabylie 2-1 US Monastir25/10/2025CAF Champions LeagueUshindi
JS Saoura 2-2 JS Kabylie29/10/2025Ligue 1Sare


Mechi 5 ushindi katika mechi 2
Poteza mechi 2
Sare mechi 1

Matokeo ya mechi 5 zilizopita kwa Yanga SC

MechiTarehe ya mchezoAina ya mashindanoMatokeo
Yanga SC 3-0 Pamba JijiSeptemba 24,2025NBC PremierUshindi
Mbeya City 0-0 Yanga SCSeptemba 30,2025NBC PremierSare
Silver Strikers FC 1-0 YangaOktoba 18, 2025CAF Champions LeaguePoteza
Yanga SC 2-0 Silver Strikers FCOktoba 25, 2025CAF Champions LeagueUshindi
Yanga SC 2-0 Mtibwa SugarOktoba 28 2025NBC PremierUshindi

Mechi 5

Ushindi 3

Sare 1

Poteza 1

Kikosi kinachotarajiwa kuanza kwa JS Kabylie vs Yanga SC

JS
Nyota wa kikosi cha JS Kabylie wapinzani wa Yanga SC. Source: JS Kabylie.


Mlinda mlango
Hadid

Mabeki
Benchana
Belaid
F. Nechat

Viungo

Merghem
Babacar Sarri
J. BARA
Boudjemaa

Washambuliaji
Mouali
Messaoudi
L. Akhrib
Kocha Mkuu wa JS Kabylie anaitwa Joe Zinbauer
SOMA HII: Ratiba ya mechi za CAF Champions League 2025/26/ Matokeo na magoli

image

Kikosi cha Yanga SC kinachotarajiwa kuanza

Mlinda mlango

Djigui Diarra

Mabeki
Zimbwe Jr
Dickson Job
Ibrahim Hamad
Israel Mwenda

Viungo
Pacome Zouzoua
Duke Abuya
Mudathir Yahya
Maxi Nzengeli

Washambuliaji
Prince Dube
Edmund John

Kocha Mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves

Hitimisho

JS Kabylie vs Yanga SC CAF Champions League leo Novemba 28,2025. Ijumaa ni moto huku Yanga SC ikipewa nafasi ndogo ya ushindi. Kurasa nyingi zinatabashiri kuwa asilimia 62 JS Kabylie itashinda huku Yanga SC akipewa asilimia 24. Licha ya utabiri huo bado matokeo halisi yatajulikana baada ya mchezo.

Share this: