Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier LeagueYanga SC vs Dodoma Jiji
  • Tanzania Premier League, Januari 27 2026 saa 1:00 usiku Uwanja wa KMC Complex
  • Yanga SC vs Dodoma Jiji wababe wawili kazini kusaka pointi tatu muhimu
  • Mara ya mwisho walipokutana ilikuwa Yanga SC 5-0 Dodoma Jiji, Zanzibar

Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba. Januari 27,2026 wababe hawa watakutana Uwanja wa KMC Complex. Saa 1:00 usiku Jumanne dakika 90 za maamuzi kwa mabingwa watetezi kupambana kuishusha JKT Tanzania kileleni na Dodoma Jiji FC kupambana kuvunja rekodi.

SOMA HII: Ratiba ya Yanga SC 2025/26 NBC Premier League, CAF Champions League/ Live scores

Cheza na ushinde sasa na ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni muda huu

Hujashinda na kindege cha SportPesa? Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege.

image

Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier League nani atashinda?

Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier League
Pedro Goncalves, Kocha Mkuu wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Wakiwa wanatarajia kupambania pointi tatu Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier League , rekodi zinaonyesha kuwa watoto wa Jangwani wana nafasi kubwa kushinda. Kwenye mechi za hivi karibuni dhidi ya Dodoma Jiji FC walikuwa wakipata ushindi. Katika mechi sita walizokutana Yanga SC ilishinda asilimia 100.

Licha ya Yanga SC kupewa nafasi kubwa kushinda bado Dodoma Jiji FC nit imu imara. Kuwa ndani ya NBC Premier League sio kitu cha kubeza. Ukizingatia hii ni ligi namba 6 kwa ubora Afrika hivyo dakika 90 zitaamua nani atakuwa mshindi.

Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier League H2H

22/06/2025Yanga SC50Dodoma Jiji FC
25/12/2024Dodoma Jiji FC04Yanga SC
22/05/2024Dodoma Jiji FC04Yanga SC
  05/02/2024Yanga SC10Dodoma Jiji FC
13/05/2023Yanga SC42Dodoma Jiji FC
22/11/2022Dodoma Jiji FC02Yanga SC

Msimamo wa Yanga SC vs Dodoma Jiji FC

 MPWDLPTS
2. Yanga SC761019
11. Dodoma Jiji FC1024410

Kikosi cha Yanga SC kinachotarajiwa kuanza vs Dodoma Jiji FC

A- Okello
A- Okello kiungo wa Yanga SC. Source: Yanga SC.

Mlinda mlango

Djigui Diarra

Mabeki

Israel Mwenda

Mohamed Hussen

Dickson Job

Ibrahim Bacca

Viungo

Damaro

Duke Abuya

Maxi Nzengeli

Allen Okelo

Pacome

Mshambuliaji

Depu

SOMA HII: Ligi Kuu Bara Juni 22 ni mzunguko wa 30/ Ratiba na matokeo hapa

image

Kikosi cha Dodoma Jiji FC kinachotarajiwa kuanza vs Yanga SC

Ally Salim
Ally Salim mlinda mlango wa Dodoma Jiji FC. Source: Dodoma Jiji.

Ally Salim

Nelson Munganga

Salmin Hoza

Andy Bikoko

Dickson Mhilu

Andasony Solomon

Mwana Kibuta

Miraj Zambo

Abdi Banda

William Edger

Faraja Kayanda

SOMA HII: Yanga SC vs Dodoma Jiji FC (5-0) |Simba SC yawaka moto kwa matokeo ya Ligi Kuu NBC Bara

image

Hitimisho

Yanga SC vs Dodoma Jiji FC Tanzania Premier League ni mwendelezo wa kusaka bingwa mpya katika ligi inayodhaminiwa na NBC Premier League. Mchezo wa mwisho wababe hawa kukutana ilikuwa Yanga SC 5-0 Dodoma Jiji FC. Walima zabibu hawajapata ushindi hivi karibu dhidi ya watoto wa Jangwani. Je mchezo ujao watakubali kushindwa ama watavunja rekodi yao? Matokeo yatapatikana baada ya dakika 90.

Share this: