- Africa Cup of Nations Misri ya Mo Salah imeandika rekodi, Gabon yaambulia patupu
- AFCON 2025 hatua ya 16 bora ratiba, msimamo makundi yote upo hapa
- Mali vs Tunisia mchecheto mapema, Tanzania vs Morocco Januari 4 2026
AFCON 2025 hatua ya 16 bora ratiba hii hapa ikiwa tayari kwa wababe kuendelea na kazi 2026. Hii ni baada ya kukamilisha hatua ya makundi na kila timu ikipata kile ilichovuna. Ikumbukwe kwamba timu ya Misri chini ya nahodha Mos Salah ilikuwa ya kwanza kukata tiketi kutinga hatua ya 16 bora.
SOMA HII: AFCON 2025: Matokeo na Ratiba, hizi hapa timu zilizofuzu hatua ya mtoano (16 bora)
Bado hujashinda pesa? Cheza ‘Kindege’ cha SportPesa uvune mamilioni sasa
Sasa ni zamu yako, unaweza kushinda hadi mamilioni muda huu. Cheza mchezo wa ‘aviator’ maarufu kama Kindege. Kushiriki mchezo huu bonyeza picha hii chini.

AFCON 2025 hatua ya 16 bora ratiba tunakusogezea ratiba na msimamo

Kuhusu AFCON 2025 hatua ya 16 bora ratiba hii hapa tumekuletea. Morocco vs Tanzania moja ya mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa. Ipo wazi rekodi imeandikwa kwa Taifa Stars kufika hapo. 2026 mashindano haya makubwa yanatarajiwa kufika tamati.
Nahodha Mbwana Samatta wa Tanzania historia itamkumbuka kwa uongozi wake. Goli la dhahabu kutoka kwa Feisal Salum halitasahaulika kwenye mioyo ya mashabiki. Je hatua ya 16 bora Tanzania itawashangaza wenyeji?
Jumamosi, Januari 3,2026
Senegal vs Sudan saa 1:00 usiku
Mali vs Tunisia saa 4:00 usiku
Jumapili, Januari 4,2026
Morocco vs Tanzania saa 1:00 usiku
Afrika Kusini vs Cameroon saa 4:00 usiku
Jumatatu, Januari 5,2026

Misri vs Benin saa 1:00 usiku
Nigeria vs Msumbiji, saa 4:00 usiku
Jumanne, Januari 6, 2026
Algeria vs Dr Congo saa 1:00 usiku
Ivory Coast vs Burkina Faso, saa 4:00 usiku.
SOMA HII: AFCON 2025: Hizi hapa nchi 5 zilizotolewa mapema

Kundi A
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.Morocco | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2. Mali | 3 | 0 | 3 | 0 | 3 |
| 3.Comoros | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Zambia | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
Kundi B
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.Misri | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2. A.Kusini | 3 | 2 | 0 | 1 | 6 |
| 3.Angola | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Zimbabwe | 3 | 0 | 1 | 2 | 1 |
Kundi C
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Nigeria | 3 | 3 | 0 | 0 | 9 |
| 2. Tunisia | 3 | 1 | 1 | 1 | 4 |
| 3.Tanzania | 3 | 0 | 2 | 1 | 2 |
| 4.Uganda | 3 | 0 | 1 | 2 | 1 |
Kundi D
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Senegal | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 2.Dr.Congo | 3 | 2 | 1 | 0 | 7 |
| 3.Benin | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4.Botswana | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |

Kundi E
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1. Algeria | 3 | 3 | 0 | 0 | 9 |
| 2.B. Faso | 3 | 2 | 0 | 1 | 6 |
| 3.Sudan | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4.Eq.Guinea | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |
Kundi F
| MP | W | D | L | PTS | |
| 1.I. Coast | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 |
| 2. Cameroon | 3 | 2 | 1 | 0 | 3 |
| 3.Mozambique | 3 | 1 | 0 | 2 | 3 |
| 4. Gabon | 3 | 0 | 0 | 3 | 0 |

Hitimisho
AFCON 2025 hatua ya 16 bora ratiba ipo tayari kwa ajili ya msako wa bingwa. Kila timu imeonesha ushindani mkubwa katika mechi tatu za makundi. Ni timu ipi itasonga hatua inayofuata? Dakika 90 zitaamua nasi tutaendelea kukupata matokeo.

